State Propaganda
JF-Expert Member
- Apr 25, 2024
- 609
- 1,426
Tarehe 2 Septemba 2022, aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu alisema yafuatayo wakati akiwakilisha mipango waliyonayo NHC kwa wadau wa Sekta ya Milki Nchini ambapo
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limesema hivi karibuni linatarajia kuanza ujenzi wa 'nyumba za bei nafuu' katika eneo la Kawe Tanganyika Packers lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
"Kwanza tunaangazia suala la kutawanyika mji unakwenda mbali zaidi, lakini pili tuna-focus kwenye vertical expansion kwa hiyo katika hili, ingawa kulikuwa na ujenzi mwingi unafanyika kulikuwepo nyumba za ubia wa maghorofa yamejengwa, lakini tumesema wakati huu twende 'tukalenge watu wa kundi la affordable' housing ambazo tunakwenda kuanzisha katika eneo la Kawe, Tanganyika Parkers"......
......"Kama kuna mtu mwenye uwezo wa kununua bedroom zake tutamwambia ruksa, nunua na kuna mtu mwenye kununua studio bedroom tunamwambia ruksa nunua"......
....."Hataki hizi nyumba zije zizidi shilingi milioni 200, hiyo milioni 150 ndiyo target yetu 160, 170, inategemeana saiti mambo yatakayokuwa, hii ndio affordability tunaenda kuitekeleza. kwamba mtu mwenye milioni 50 atapata, mwenye 100 mwenye 150 atapata. Na niseme hii sio concept mpya sana niseme ni concert ambayo hapa katikati tulienda tukaisahau kuitengeneza."...
...."Lengo ni kwamba tunajikuta kwamba kwa sasa tuna Watanzania wanakaa mjini wanafanya kazi Mjini wakae hapo hapo Mjini na wanatembea kwenda maofisini kwao."
MWISHO WA KUNUKUHU.
Miaka minne (4) baadaye....
Nyumba SM 131, yenye vyumba viwili bei (pamoja na VAT) Tsh 478 Milion.
Milioni 478!!!! ndio affordable house!!!
BLOODY HELL!!
Huku si sawa na KUWATUKANA , tena MATUSI ya NGUONI kabisa kundi kubwa la Wananchi !!
ACHENI DHARAU AISEE..
Ni bora mngesema walengwa walikuwa ni VIBOPA/VIGOGO ama first class society.
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limesema hivi karibuni linatarajia kuanza ujenzi wa 'nyumba za bei nafuu' katika eneo la Kawe Tanganyika Packers lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
"Kwanza tunaangazia suala la kutawanyika mji unakwenda mbali zaidi, lakini pili tuna-focus kwenye vertical expansion kwa hiyo katika hili, ingawa kulikuwa na ujenzi mwingi unafanyika kulikuwepo nyumba za ubia wa maghorofa yamejengwa, lakini tumesema wakati huu twende 'tukalenge watu wa kundi la affordable' housing ambazo tunakwenda kuanzisha katika eneo la Kawe, Tanganyika Parkers"......
......"Kama kuna mtu mwenye uwezo wa kununua bedroom zake tutamwambia ruksa, nunua na kuna mtu mwenye kununua studio bedroom tunamwambia ruksa nunua"......
....."Hataki hizi nyumba zije zizidi shilingi milioni 200, hiyo milioni 150 ndiyo target yetu 160, 170, inategemeana saiti mambo yatakayokuwa, hii ndio affordability tunaenda kuitekeleza. kwamba mtu mwenye milioni 50 atapata, mwenye 100 mwenye 150 atapata. Na niseme hii sio concept mpya sana niseme ni concert ambayo hapa katikati tulienda tukaisahau kuitengeneza."...
...."Lengo ni kwamba tunajikuta kwamba kwa sasa tuna Watanzania wanakaa mjini wanafanya kazi Mjini wakae hapo hapo Mjini na wanatembea kwenda maofisini kwao."
MWISHO WA KUNUKUHU.
Miaka minne (4) baadaye....
Nyumba SM 131, yenye vyumba viwili bei (pamoja na VAT) Tsh 478 Milion.
Milioni 478!!!! ndio affordable house!!!
BLOODY HELL!!
Huku si sawa na KUWATUKANA , tena MATUSI ya NGUONI kabisa kundi kubwa la Wananchi !!
ACHENI DHARAU AISEE..
Ni bora mngesema walengwa walikuwa ni VIBOPA/VIGOGO ama first class society.