Mkuuu umeleta hoja nzuri sana na hii ni changamoto kwa tenesco na serikali,maoni yangu nguzo za cement ni bora kuliko hizi za miti,inabidi watu waimplement hii na maendelea yatakuja kwa kasi kuliko hizi ambao wanasema lazima zitoke kwao,Hii idea ni nzuri sana wanajamvi kwanini chadema/wanaharakati/wasomi walivalie nyuga ili liwe implemented hayo mambo ya miti ni wizi,pili si za kudumu