lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
NGUZO ZA UMEME
Naombeni mnielimishe. Mbona ktk nchi za wenzetu mfano Japan na hata nchi kama za dunia ya tatu kama Sudan wanatumia nguzo za umeme za zege badala ya miti kama Tanzania? Nikitathimini tu gharama ya hizi nguzo, hata shilingi milioni mojakwa nguzo, hazi wezi kughalimu, na nizionavyo mimi ni za kudumu zaidi kuliko za kwetu Tanzania. Wenzangu sijui mna maoni gani juu ya hilo. Na kama nguzo za zege ni nafuu na za kudumu kwa nini tuendelee kutumia hizo nguzo za miti? Na kuna wakati TANESCO wali ishiwa na wakasema wameagiza kutoka Afrika ya kusini
Naombeni mnielimishe. Mbona ktk nchi za wenzetu mfano Japan na hata nchi kama za dunia ya tatu kama Sudan wanatumia nguzo za umeme za zege badala ya miti kama Tanzania? Nikitathimini tu gharama ya hizi nguzo, hata shilingi milioni mojakwa nguzo, hazi wezi kughalimu, na nizionavyo mimi ni za kudumu zaidi kuliko za kwetu Tanzania. Wenzangu sijui mna maoni gani juu ya hilo. Na kama nguzo za zege ni nafuu na za kudumu kwa nini tuendelee kutumia hizo nguzo za miti? Na kuna wakati TANESCO wali ishiwa na wakasema wameagiza kutoka Afrika ya kusini