figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,720
- 55,859
Heshima kwenu wakuu,
Kuna nguzo ya Umeme imeanguka barabarani, imemuangukia dereva wa bodaboda huku umeme ukiwa haujazima.
Bodaboda kanusurika kifo ila kaumia sana.
Ni kwenye barabara itokayo sayansi kwa Ali Maua hadi kwa Mtogole. Nmeacha TENESCO ndo wamefika.
Barabara ina foleni sana.
Kuna nguzo ya Umeme imeanguka barabarani, imemuangukia dereva wa bodaboda huku umeme ukiwa haujazima.
Bodaboda kanusurika kifo ila kaumia sana.
Ni kwenye barabara itokayo sayansi kwa Ali Maua hadi kwa Mtogole. Nmeacha TENESCO ndo wamefika.
Barabara ina foleni sana.
