Wadau nadhani nanyi mmepata kuona kuna nguzo ndogondogo zinasambazwa hapa mjini (DSM) kwa kasi kubwa sana kukiwa na tetesi kwamba ni za kampuni mpya ya simu.
Kama ni kweli ninajiuliza iweje serikali iruhusu kutandazwa kwa nyaya angani zama hizi?
Naomba kwa mwenye taarifa zaidi atujuze.
Kama ni kweli ninajiuliza iweje serikali iruhusu kutandazwa kwa nyaya angani zama hizi?
Naomba kwa mwenye taarifa zaidi atujuze.