Nguzo mpya za simu zinazosambazwa mitaani

Nguzo mpya za simu zinazosambazwa mitaani

Hizo nguzo ni za kampuni kutoka manihatani(man enhe en) zitapitisha gesi ya mtwara nchi nzima.
 
Sawa nasubiri lkn natamani kujua huo waya utatusaidiaje wakati umechimbiwa chini halafu umepita tu? Anayejua anielimishe?

Huo waya unakwenda sehemu amabapo wanaweka mnara na kufunga mitambo ya mawasiliano.Hivyo badala ya Kutumia microwave Radio kama makampuni mengine yanavyotumia wao wanaunganisha kwa kutimia Mkongo(Fibre cable) kuunganisha minara yao.
 
Tuwekeeni hizo nguzo na sisi wa Kisukulu Kimanga eneo kat ya Bosinia na Makoka kwani network ya mitandao mingine ni mbofu mbofu!
 
Back
Top Bottom