LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 29,037
- 45,860
nguvu za kike nazo zipo, hujawahi kukutana na mwanamke mwenye uke mkavu na hasisimki kunako mchakatoni?Ngoja nami nianze kuzusha habari za nguvu za kike.
nguvu za kike nazo zipo, hujawahi kukutana na mwanamke mwenye uke mkavu na hasisimki kunako mchakatoni?Ngoja nami nianze kuzusha habari za nguvu za kike.
Wamejuaje wana hilo tatizo, Yn n kipi wameona mpaka wakajua Wana hilo tatizoWatu wenye hilo tatizo hawasui sui kwenye malipo ndio maana unaona matangazo ni mengi
leo dada, ya kweli haya?nguvu za kike nazo zipo, hujawahi kukutana na mwanamke mwenye uke mkavu na hasisimki kunako mchakatoni?
JidanganyeNguvu za kiume zipo bank
Kumbe nguvu za kike zinategemea vile mwanaume anavyokuja ehh!Kama mwanaume
1.Hana pesa
2. hahongi
3. mchafu ananuka
4. hajui mapenzi
Hizo nguvu za kike zitatoka wapi ndugu yangu??? zaidi kutafutiana lawama tu!!!
Hapo kwa alkasusi nakupinga...huo mzigo ni wa kwel ipa endapo unakutana na anaetengeneza og kabisaAkili mtu wangu, jamaa mtaani huko amekaa ameona fursa ya wajinga kutaka nguvu ambazo tyr wanazo, akaona awaletee alkasusu ili apige pesa za wajinga.
Nipe namba yake chapuHizo ni dawa za tumbo sio dawa za nguvu za kiume. Tangu lini alkhasusi ikatibu nguvu za kiume?. Mcheki Dr khamis zephania mambo yatakuwa shwari
Sio mbaya ukiwa mteja wa jamaa,Hapo kwa alkasusi nakupinga...huo mzigo ni wa kwel ipa endapo unakutana na anaetengeneza og kabisa
Kuwa makini na sisimizi msee 🤣Nshafunga msuli,,nimelala chini ya muembe.......
Hakuna mkuu..hyo kitu ni ya kipekee kabisaa...sema watu wanakutana na ile feki...Sio mbaya ukiwa mteja wa jamaa,
Hizo ishu kuanzia nguvu za kiume mpaka hayo mambo ya alkasusu, ni mindset tuu