Nguvu za kiume wanaume msimtafute mchawi

Nguvu za kiume wanaume msimtafute mchawi

Kivipi?, fafanua zaidi kama unaweza.

Unapo tizama video za ngono kwa mara ya kwanza uume wako husimama sana, unapoendelea kutizama ndivyo jinsi asilimia za uume hupungua, na unapokithiri unakuta unaangalia video ya ngono mpaka inaisha uume haujasimama kabisa. ukifikia hatua hii ni kwamba uwezo wa neva zako kuunganisha tukio unaloliona na mwili wako vinakua vimekufa.

Mara nyingi watu wanaofikia hatua hii hujikuta wakibadilisha aina ya video za ngono na kuanza kuangalia zile ambazo ni chafu zaidi mfano Mbwa na mwanamke, farasi na mwanamke, kinyume cha maumbile na hata wanawake wanaosagana.

Mtu wa namna hii hawezi mpanda mwananmke na akifanikiwa kumpanda ujue katikati ya mechi mashine lazima ilale...
 
Hakuna point yeyote...

Kwahiyo hata kujua sijaelewa wapi sioni..

Naona tu maandishi ya mtu aliyejaa povu

Sawa mkuu endelea kuangalia video zako za Ngono alafu baadae mkeo aende akatafute huduma kwa watu walio ona point katika bandiko hili.
 
Uzi wako una mada mbili;
1, Kufunga mwezi wa Ramadhani.
2, Ukosefu wa nguvu za kiume.
Kabla sijakujibu ningependa kujua jinsia yako
 
Karucee, nguvu za kiume ni ule uwezo wa kufanya tendo, haihusiani na uzazi, kwa maelezo ya awali tu ni hivyo.
Basi kama ni hivyo nawahurumia sana wanaume kwasababu recently kumekuwa na kilio kutoka kwa wanawake kutotimiziwa haja zao.

And seemingly wanaume wengi wanajihisi inferior na kujiona hawafai na hapa ndipo biashara nyingi zinashamiri kila mmoja akiahidi kurudisha nguvu za kiume.

Bado nasisitiza nguvu za kiume kama tatizo limekuwa overrated. Na kwa nini nasema hivi.

Siku hizi mahusiano yanaanza mapema sana. Vibinti na pia vivulana wanaanza sex bila hata kuielewa miili yao. Na by the time wanatimiza 25 to 30 ndo wanakuja kugundua copulation has more important uses like conception.

Sasa wanaanza sex. Miili yao hawaielewi, unatarajia watawezaje kuwaambia wenzao what they really want?

If I myself don't know my body well, I don't know what pleasures me and what not, how do I let my partner know what spots to work on to make me climax?

If I have messed my body so much that am now flabby how do I enjoy sex with a man with smaller organs?

So I decide to hate and cry foul ' wakaka wa siku hizi hawana nguvu za kiume'

C.R.A.P
 
naunga mkono hoja punyeto haiwez kumridhisha mtu wal kukata kiu yake
 
You have a point.
Basi kama ni hivyo nawahurumia sana wanaume kwasababu recently kumekuwa na kilio kutoka kwa wanawake kutotimiziwa haja zao.

And seemingly wanaume wengi wanajihisi inferior na kujiona hawafai na hapa ndipo biashara nyingi zinashamiri kila mmoja akiahidi kurudisha nguvu za kiume.

Bado nasisitiza nguvu za kiume kama tatizo limekuwa overrated. Na kwa nini nasema hivi.

Siku hizi mahusiano yanaanza mapema sana. Vibinti na pia vivulana wanaanza sex bila hata kuielewa miili yao. Na by the time wanatimiza 25 to 30 ndo wanakuja kugundua copulation has more important uses like conception.

Sasa wanaanza sex. Miili yao hawaielewi, unatarajia watawezaje kuwaambia wenzao what they really want?

If I myself don't know my body well, I don't know what pleasures me and what not, how do I let my partner know what spots to work on to make me climax?

If I have messed my body so much that am now flabby how do I enjoy sex with a man with smaller organs?

So I decide to hate and cry foul ' wakaka wa siku hizi hawana nguvu za kiume'

C.R.A.P
 
Ok, asante kwa elimu.
Unapo tizama video za ngono kwa mara ya kwanza uume wako husimama sana, unapoendelea kutizama ndivyo jinsi asilimia za uume hupungua, na unapokithiri unakuta unaangalia video ya ngono mpaka inaisha uume haujasimama kabisa. ukifikia hatua hii ni kwamba uwezo wa neva zako kuunganisha tukio unaloliona na mwili wako vinakua vimekufa.

Mara nyingi watu wanaofikia hatua hii hujikuta wakibadilisha aina ya video za ngono na kuanza kuangalia zile ambazo ni chafu zaidi mfano Mbwa na mwanamke, farasi na mwanamke, kinyume cha maumbile na hata wanawake wanaosagana.

Mtu wa namna hii hawezi mpanda mwananmke na akifanikiwa kumpanda ujue katikati ya mechi mashine lazima ilale...
 
Mwanaume akiweza tu kusimamisha uume basi huyo nguvu za Kiume anazo. Wasio na nguvu za Kiume ni wale wasioweza kudidisha maarufu kama mahanithi. Na mkae mkijua hamna hanithi nusu. Nguvu za Kiume ni aidha unazo au hauna ila hamna kitu kinaitwa upungufu wa nguvu za Kiume.
 
Nguvu za kiume ni suala la kisaikolojia shida ni kwamba hili neno saikolojia hubakia kama msamiati kwa watu wengi kutokana na uhaba wa mifano inayo akisi uhalisia,

Hebu chukulia mfano umeletewa mwanamke mzuri umpendae kuliko wote duniani, ukapewa fursa ya kulala nae usiku mmoja, wakati huo wewe ni mzima wa afya tele na mara gafla unapokea simu ukitaarifiwa kuwa kuwa mama yako mzazi anaumwa sana na hakuna pesa za kumtibia hivyo basi unaombwa kesho asubuhi umfuate umpereke hospital wakati huo hauna ajira na mwenye nyumba anakudai kodi wakati huo huo kile kibiashara chako TRA wanatishia kukifunga kwa kuwa haulipi kodi,
Kumbuka wakati huo upo na huyo mwanamke kitandani,
Je ni nini kitafuata ktk usiku huo wa mahaba?
Fcuking like there is no tomorrow
 
Mchawi lishe nzuri na zoezi tu. Hamna kitu kama upungufu wa nguvu za kiumeni!

1.Amka na mazoezi ya mwili walau utoke jasho kidogo.
2.Piga uji wa ulezi bakuli moja na viazi vitamu au hogo la kuchemsha asubuhi.
3.Baada ya dkk 30-40 toka ulipokula jipige lita moja na nusu ya maji.
4.Mchana kula zako dona dagaa, arage kidogo na mboga ya majani na tunda aidha ndizi,parachichi au tikiti.
5.Baada ya lisaa jitie lita na nusu ya maji tena.
6. Jioni baada ya mishe zako unaweza piga pushups tu kama resistance exercise.Piga walau 30-50 bila kupumzika. Piga awamu tatu.
7. Kula chakula kiasi bila kusahau kusindikiza na tunda aidha ndizi,parachichi au tikiti.

Ukifanya haya ndani kuanzia siku ya 10 tu bila kupumzika utanipa majibu!
 
Back
Top Bottom