Nguvu za kiume wanaume msimtafute mchawi

Nguvu za kiume wanaume msimtafute mchawi

Cherenganya

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
2,309
Reaction score
1,786
Habari wana jamvi

Kwa wale waislam hongereni kwa kuendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa wale ambao ni waislam na hamkufanikiwa kufunga kwa sababu za maradhi Mwenyezi Mungu awanurusuni na maradhi hayo ili inshaalah muungane na wenzenu kabla ya ramadhani kwisha au Ramadhani ijayo muwe pamoja nao. Aidha kwa wale mlioamua kula kona tu kwa makusudi MUNGU ANAWAONA.

Nguvu za kiume - wanaume msimtafute mchawi, NDIO mchawi ni ninyi wenyewe na leo nawaambia tatizo linalowauwa sio MAWAZO YA MAISHA, SIO CHIPSI MAYAI PEKEE, WALA SIO PUNYETO. Wanaume ndio wanaoongoza kwa kuangalia PICHA/VIDEO ZA NGONO kuliko jinsi ya kike ulimwenguni, kwa Mujibu wa Msaikolojia Yassir Fazaga, ambaye anatoa ushauri wa Kisaikolojia nchini Marekani anasema, zipo kurasa milioni 420 ambazo zimechapishwa picha za utupu, na katika kila sekunde moja kuna takribani watu 29,000 wanatizama picha/video za ngono mtandaoni, ambapo kwa sku ni takribani search milioni 68, na mbaya zaidi 160,000 kati ya search hizo wanatafuta PICHA/VIDEO za uchi za watoto.

Aidha Marekani peke yake kwa mwezi watu wanatumia takribani dola bilioni moja katika PICHA/VIDEO za ngono, na duniani ni zaidi ya dola milioni 100 kwa siku. St. Gabriel Valley ndio sehemu inayo ongoza kwa kuchapisha picha za ngono duniani, takribani 13,000 video kwa mwaka, hii ni sehemu moja tu.

BADALA YA CHABO SASA NI SMARTPHONE
Wanaume wengi aidha wamehifadhi picha za ngono au wana access ya picha hizo kwenye simu zao, hutumia muda mwingi sana katika simu zao na takwimu zinaonyesha ni muda ambao yupo chumbani peke yake, au Baa, au sehemu ambayo anahisi hawezi kuonekana na mtu kirahisi.

WAHENGA WALIWAHI KUWA NA TATIZO HILO?
Wale ambao tulifanikiwa kukuta zama zile za hakuna simu wala VIDEO, kulikua kuna kitu wanaume wanakiita CHABO/KOZI (kuchungulia wakati watu wanafanya mapenzi, na kwa vijana walikua wakipeana taarifa kabisa kwamba leo ninademu hivyo njoo mchungulie ili naye ikiwa zamu ya wengine apewe nafasi pia.

MCHAWI MWENYEWE NI HUYU HAPA SASA
Mtu anaye tizama picha za Ngono, anaua uwezo wake wa asili wa KUAMRISHA MISULI NA AKILI KUWA TAYARI (stimulant).

KWANINI NILISEMA SIO PUNYETO, SIO CHIPSI MAYAI WALA MAWAZO.
  1. Punyeto kwa wale ambao wamewahi kufanza tabia hii watakuambia kitu kimoja kwamba PUNYETO HAIJAWAHI KUMRIDHISHA MTU TAMAA ZAKE ZA KIMWILI
  2. Sio chipsi Mayai, wataalamu wanatuambia Chipsi zinamnyima mtu nguvu za kusukuma mizigo mingi lakini sio za kusimamisha
  3. Mawazo yatamnyima mtu hamu ya tendo lakini sio kulegea wakati wa tendo.
NB
Punyeto ni ugonjwa wa wavuta BANGI

NYONGEZA YA MAWAZO INARUHUSIWA, KWA STAILI YOYOTE ILE ISIPOKUA TU KUA MAKINI MODERATOR ANAKUONA.
 
Picha wanaoangalia no wale ambao hawana demu Wa kwenda kumsasambua.Kupata demu ni shughuli pevu.Ni ghali kupata demu Wa kumsasambua utakavyo.Halafu maumbile yanatofautiana katika kufanya hilo tendo.Watu hupenda kuangalia picha za ngono kama sehemu ya kujifunza mitindo ya kuingilia demu na kuona maumbile tofauti ya kiume na kike katika ufanyaji wa shughuli hiyo
 
Naungana na ww kwa 100% ngono uchangia sana ,tena kuna utafiti ulitoka huko huko America ukitoa picha za ngono,kamari ndio inafuatia kwa hela halamu.

Nb:japo yawezekana nipo nje ya mada.
 
Hujaelezea picha za ngono zinasababisha vipi upungufu wa nguvu za kiume.
 
Kuna kitu sijawahi kuelewa.

Kipimo cha kukosa ama kupungua kwa nguvu za kiume ni kipi?

Je, ni kukosa uwezo wa kuzalisha kwa mwanamme yaani ugumba ?

Ama ni kushindwa kutimiza haja za mwenzio.

Either way, I think nguvu za kiume is overrated. Nadhani ni hype of the moment ili watu wauze bidhaa zao zinazoaminika kuongeza hivi nguvu.
 
Habari wana jamvi

Kwa wale waislam hongereni kwa kuendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa wale ambao ni waislam na hamkufanikiwa kufunga kwa sababu za maradhi Mwenyezi Mungu awanurusuni na maradhi hayo ili inshaalah muungane na wenzenu kabla ya ramadhani kwisha au Ramadhani ijayo muwe pamoja nao. Aidha kwa wale mlioamua kula kona tu kwa makusudi MUNGU ANAWAONA.

Nguvu za kiume - wanaume msimtafute mchawi, NDIO mchawi ni ninyi wenyewe na leo nawaambia tatizo linalowauwa sio MAWAZO YA MAISHA, SIO CHIPSI MAYAI PEKEE, WALA SIO PUNYETO. Wanaume ndio wanaoongoza kwa kuangalia PICHA/VIDEO ZA NGONO kuliko jinsi ya kike ulimwenguni, kwa Mujibu wa Msaikolojia Yassir Fazaga, ambaye anatoa ushauri wa Kisaikolojia nchini Marekani anasema, zipo kurasa milioni 420 ambazo zimechapishwa picha za utupu, na katika kila sekunde moja kuna takribani watu 29,000 wanatizama picha/video za ngono mtandaoni, ambapo kwa sku ni takribani search milioni 68, na mbaya zaidi 160,000 kati ya search hizo wanatafuta PICHA/VIDEO za uchi za watoto.

Aidha Marekani peke yake kwa mwezi watu wanatumia takribani dola bilioni moja katika PICHA/VIDEO za ngono, na duniani ni zaidi ya dola milioni 100 kwa siku. St. Gabriel Valley ndio sehemu inayo ongoza kwa kuchapisha picha za ngono duniani, takribani 13,000 video kwa mwaka, hii ni sehemu moja tu.

BADALA YA CHABO SASA NI SMARTPHONE
Wanaume wengi aidha wamehifadhi picha za ngono au wana access ya picha hizo kwenye simu zao, hutumia muda mwingi sana katika simu zao na takwimu zinaonyesha ni muda ambao yupo chumbani peke yake, au Baa, au sehemu ambayo anahisi hawezi kuonekana na mtu kirahisi.

WAHENGA WALIWAHI KUWA NA TATIZO HILO?
Wale ambao tulifanikiwa kukuta zama zile za hakuna simu wala VIDEO, kulikua kuna kitu wanaume wanakiita CHABO/KOZI (kuchungulia wakati watu wanafanya mapenzi, na kwa vijana walikua wakipeana taarifa kabisa kwamba leo ninademu hivyo njoo mchungulie ili naye ikiwa zamu ya wengine apewe nafasi pia.

MCHAWI MWENYEWE NI HUYU HAPA SASA
Mtu anaye tizama picha za Ngono, anaua uwezo wake wa asili wa KUAMRISHA MISULI NA AKILI KUWA TAYARI (stimulant).

KWANINI NILISEMA SIO PUNYETO, SIO CHIPSI MAYAI WALA MAWAZO.
  1. Punyeto kwa wale ambao wamewahi kufanza tabia hii watakuambia kitu kimoja kwamba PUNYETO HAIJAWAHI KUMRIDHISHA MTU TAMAA ZAKE ZA KIMWILI
  2. Sio chipsi Mayai, wataalamu wanatuambia Chipsi zinamnyima mtu nguvu za kusukuma mizigo mingi lakini sio za kusimamisha
  3. Mawazo yatamnyima mtu hamu ya tendo lakini sio kulegea wakati wa tendo.
NB
Punyeto ni ugonjwa wa wavuta BANGI

NYONGEZA YA MAWAZO INARUHUSIWA, KWA STAILI YOYOTE ILE ISIPOKUA TU KUA MAKINI MODERATOR ANAKUONA.
very true big up
 
Nguvu za kiume ni suala la kisaikolojia shida ni kwamba hili neno saikolojia hubakia kama msamiati kwa watu wengi kutokana na uhaba wa mifano inayo akisi uhalisia,

Hebu chukulia mfano umeletewa mwanamke mzuri umpendae kuliko wote duniani, ukapewa fursa ya kulala nae usiku mmoja, wakati huo wewe ni mzima wa afya tele na mara gafla unapokea simu ukitaarifiwa kuwa kuwa mama yako mzazi anaumwa sana na hakuna pesa za kumtibia hivyo basi unaombwa kesho asubuhi umfuate umpereke hospital wakati huo hauna ajira na mwenye nyumba anakudai kodi wakati huo huo kile kibiashara chako TRA wanatishia kukifunga kwa kuwa haulipi kodi,
Kumbuka wakati huo upo na huyo mwanamke kitandani,
Je ni nini kitafuata ktk usiku huo wa mahaba?
 
Habari wana jamvi

Kwa wale waislam hongereni kwa kuendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa wale ambao ni waislam na hamkufanikiwa kufunga kwa sababu za maradhi Mwenyezi Mungu awanurusuni na maradhi hayo ili inshaalah muungane na wenzenu kabla ya ramadhani kwisha au Ramadhani ijayo muwe pamoja nao. Aidha kwa wale mlioamua kula kona tu kwa makusudi MUNGU ANAWAONA.

Nguvu za kiume - wanaume msimtafute mchawi, NDIO mchawi ni ninyi wenyewe na leo nawaambia tatizo linalowauwa sio MAWAZO YA MAISHA, SIO CHIPSI MAYAI PEKEE, WALA SIO PUNYETO. Wanaume ndio wanaoongoza kwa kuangalia PICHA/VIDEO ZA NGONO kuliko jinsi ya kike ulimwenguni, kwa Mujibu wa Msaikolojia Yassir Fazaga, ambaye anatoa ushauri wa Kisaikolojia nchini Marekani anasema, zipo kurasa milioni 420 ambazo zimechapishwa picha za utupu, na katika kila sekunde moja kuna takribani watu 29,000 wanatizama picha/video za ngono mtandaoni, ambapo kwa sku ni takribani search milioni 68, na mbaya zaidi 160,000 kati ya search hizo wanatafuta PICHA/VIDEO za uchi za watoto.

Aidha Marekani peke yake kwa mwezi watu wanatumia takribani dola bilioni moja katika PICHA/VIDEO za ngono, na duniani ni zaidi ya dola milioni 100 kwa siku. St. Gabriel Valley ndio sehemu inayo ongoza kwa kuchapisha picha za ngono duniani, takribani 13,000 video kwa mwaka, hii ni sehemu moja tu.

BADALA YA CHABO SASA NI SMARTPHONE
Wanaume wengi aidha wamehifadhi picha za ngono au wana access ya picha hizo kwenye simu zao, hutumia muda mwingi sana katika simu zao na takwimu zinaonyesha ni muda ambao yupo chumbani peke yake, au Baa, au sehemu ambayo anahisi hawezi kuonekana na mtu kirahisi.

WAHENGA WALIWAHI KUWA NA TATIZO HILO?
Wale ambao tulifanikiwa kukuta zama zile za hakuna simu wala VIDEO, kulikua kuna kitu wanaume wanakiita CHABO/KOZI (kuchungulia wakati watu wanafanya mapenzi, na kwa vijana walikua wakipeana taarifa kabisa kwamba leo ninademu hivyo njoo mchungulie ili naye ikiwa zamu ya wengine apewe nafasi pia.

MCHAWI MWENYEWE NI HUYU HAPA SASA
Mtu anaye tizama picha za Ngono, anaua uwezo wake wa asili wa KUAMRISHA MISULI NA AKILI KUWA TAYARI (stimulant).

KWANINI NILISEMA SIO PUNYETO, SIO CHIPSI MAYAI WALA MAWAZO.
  1. Punyeto kwa wale ambao wamewahi kufanza tabia hii watakuambia kitu kimoja kwamba PUNYETO HAIJAWAHI KUMRIDHISHA MTU TAMAA ZAKE ZA KIMWILI
  2. Sio chipsi Mayai, wataalamu wanatuambia Chipsi zinamnyima mtu nguvu za kusukuma mizigo mingi lakini sio za kusimamisha
  3. Mawazo yatamnyima mtu hamu ya tendo lakini sio kulegea wakati wa tendo.
NB
Punyeto ni ugonjwa wa wavuta BANGI

NYONGEZA YA MAWAZO INARUHUSIWA, KWA STAILI YOYOTE ILE ISIPOKUA TU KUA MAKINI MODERATOR ANAKUONA.

ndugu nguvu za kiume zipo mijini nikupe jibu.wanaume wengi mijini utafutaji wa pesa kwa mda mwingi na nguvu nyingi ambayo inayo fanya hata lishe kuwa hafifu na mazingira uchumi.nenda kijijini umpeleke dada hako huone
 
Ni kweli kabisa boss ukiacha kuangalia picha za ngono mwaka mzima unakua mwanaume haswaaaa
 
MCHAWI MWENYEWE NI HUYU HAPA SASA
Mtu anaye tizama picha za Ngono, anaua uwezo wake wa asili wa KUAMRISHA MISULI NA AKILI KUWA TAYARI (stimulant).
Kwa hiyo afanye nini ule uwezo wake wa asili uweze kurudi?
 
Kuna kitu sijawahi kuelewa.

Kipimo cha kukosa ama kupungua kwa nguvu za kiume ni kipi?

Je, ni kukosa uwezo wa kuzalisha kwa mwanamme yaani ugumba ?

Ama ni kushindwa kutimiza haja za mwenzio.

Either way, I think nguvu za kiume is overrated. Nadhani ni hype of the moment ili watu wauze bidhaa zao zinazoaminika kuongeza hivi nguvu.

Upungufu wa Nguvu za kiume ziko katika namna tofauti.
  1. Uume kusimama lakini sio kwa asilimia mia moja
  2. Uume kusimama vizuri kisha katikati ya mchezo unalala
  3. Kushindwa kurudia tendo zaidi ya mara moja
  4. Kuwahi sana kukojoa
  5. Kuchelewa sana kukojoa au kutokukojoa kabisa (lakini bado uume wa namna hii hausimami asilimia 100)
Either katika swala la kuwa overrated kama unaweza ukawauliza wanawake watakuambia hii kitu, Nyongeza unadhani ni kwanini watu wengi hawawezi kutumia kondom, ni kwakua kondom ili ikamate mpini, mpini unatakiwa uwe imara kwa asilimia 100 la sivyo unakuta ile kondom inavuka na kubaki katika uke
 
Karucee, nguvu za kiume ni ule uwezo wa kufanya tendo, haihusiani na uzazi, kwa maelezo ya awali tu ni hivyo.
Kuna kitu sijawahi kuelewa.

Kipimo cha kukosa ama kupungua kwa nguvu za kiume ni kipi?

Je, ni kukosa uwezo wa kuzalisha kwa mwanamme yaani ugumba ?

Ama ni kushindwa kutimiza haja za mwenzio.

Either way, I think nguvu za kiume is overrated. Nadhani ni hype of the moment ili watu wauze bidhaa zao zinazoaminika kuongeza hivi nguvu.
 
Back
Top Bottom