Kibona Dickson
Member
- Feb 13, 2011
- 37
- 14
Wanafunzi wa chuo kikuu cha dsm kwa pamoja na kwa kutumia nguvu ya umma,wamefanikiwa kuulazimisha utawala wa chuo kubadili maamuzi yake ya kuwasimamisha wanafunzi zaidi ya 40 kutokana na maandamano yaliyofanyika mwezi novemba 2011.Wanafunzi hao wamerudishwa chuoni kuendelea na masomo kama kawaida.Ushindi huu ni matumaini makubwa katika kupigania haki zetu.hakuna kulala mpaka kieleweke.