Honey Faith jibu hiiHivi kwanini Wanawake wanaogopa sana Mende?
Mie naogopa panya jamani pamoja na chura yaani siwezi kukaa au kulala nikijua wapo eneo nilipo utanikuta juu ya stuli au kigoda au kochi huku natafuta jinsi ya kumuua au kuomba msaada.
Mie naogopa panya jamani pamoja na chura yaani siwezi kukaa au kulala nikijua wapo eneo nilipo utanikuta juu ya stuli au kigoda au kochi huku natafuta jinsi ya kumuua au kuomba msaada.
Mbona hapo ulipo kama nimeona panya anatembelea
Eh! Unaogopa vip panya wakati una pu**y»lol
Pole sana dada!
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
Waapii hamna yaani labda nisijue ila nikijua yupo sikai hapo natafuta mlango wa kutokea. Kunasiku nilikuwa natembea tukielekea makaburini kuzika kulikuwa na manyunyu na ilikuwa kijijini nusura nivue nguo baada ya chura wa kijani kunirukia vile vidogodogo weeh acha kabisa nilirudia njia ingine.
Kasinde tangu lini umeanza matusi ya rejareja?
Hahahaa nimetukana wapii mbona nimetaja vyakula tuu!! Au kuandika kizungu ndo kutukana heheheee ila napenda sana soseji aisee haziishi kwenye friji yangu...
Hahahha kama nakuona vile...