Nguvu ya kitanda

Upande wa pili je? Comfory ya kulala?

1/3 ya maisha yetu inakuwa spent kitandani tumelala. Hatuna budi kuhakikihha tunajinyoosha vizuri kwa afya.
 
Na hivi zisofa vyumbani sjui huwa vinagundi yaani mpka kuja kumpandisha demu kitandani kama taifastars inacheza imeshachapwa 4
 
Acha hiyo ya 6x6 Nyumba nyingine wanakuwa na vitanda viwili chumbani. Cha Baba na cha mama. Sasa ndugu yangu kama wamewashiana Moto panakuwa pagumu. Kwa sababu zifuatazo;
1; kama ugomvi au msuguano ulianza mchana ndio Basi tena, maana usiku hakuna kwenda kwa mwenzake. Na hiyo ndio inafanya mahusiano kuwa magumu zaidi.
Itabidi anayetaka mahusuano yarudi Basi itabidi AJIKOMBE KWA MWENZAKE.

2, Kama valangati mmelianzisha usiku huko chumbani, hapo napo pagumu itabidi Huduma za KUNUNIANA zianze usiku huo kwa kila mtu na kitanda chake mpaka siku mambo yawe shwali au mmoja AJIKOMBE kwa mwenzake.

ANGALIZO; Mfumo huu huleta adabu kidogo kwa sababu kila mtu anajua LIKIHALIBIKA suluhu Ni ngumu kutokana na umbali WA vitanda๐Ÿ˜
 
Eti kisa alininunia mchana,ndio asubuhi na barid hili la makambako eti niogope kutaka mambo??!!mimi huyu huyu kabisa??!labda sijashikwa!hata kama vitanda ni viwili.ujinga wa kumvutia mdomo mwanamke sonata aisee
 
Mie kibeseni niko kimya, nafaidi na kimeo changu. LAKINI NIMECHEKA KIMOYOMOYO.

KATIBA MPYA MALI YA WANANCHI
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ