Nguvu ya intelijensia ya Kanisa Katoliki(Roman Catholic Church)Je Ni Tishio kwa "Regime"

Nguvu ya intelijensia ya Kanisa Katoliki(Roman Catholic Church)Je Ni Tishio kwa "Regime"

lost files

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2025
Posts
655
Reaction score
1,792
Roman Catholic Church (RC) ni zaidi ya taasisi ya kiroho Kama tunavyoona au kufahamu,ushawishi wake katika nchi yetu ulianza zamani Sana kabla ya Uhuru,kulikua na Parallel state structure,.Walijenga shule nyingi, Hospitals na majengo ya mahakama..Kama umepitia kitabu Cha Sir Andy Chande A knight in Africa (Journey from Bukene) utajifunza kwamba kuna Taasisi za siri zilianza tangu enzi za ukoloni kutawala na kuendesha Serikali kwa mlango wa nyuma,.

Je intelligence yao Ina nguvu kiasi gani??

Tafsiri ya Intelligence organization ni Uwezo wa kutafuta taarifa,kuzipokea,kuzichakata na kuzichambua ili ku improve security measures,faida za kibiashara,kulinda usalama wa nchi au Taasisi , Na sababu yeyote ile itakayofaidisha taasisi..Kuna Organization nyingi za intelijensia Kama Mossad,TISS,CIA,Roman Catholic Wao ya kwao inaitwa OPUS DEI(Work Of God)..

Jinsi wanavyopata Taarifa,.
Kuna nyimbo ya Rap ya BIG Sean ft Kanye west inaitwa Blessings Kuna remarkable line anasema

" I tell the truth Father forgive me these are all my confessions"

Jamaa anaungana kwa padre dhambi zake Zote, Fikiria Tanzania Kuna maelfu ya makanisa ya RC,waumini milion kadhaa,.haijalishi wangapi wanaungama ila kwa wanaoungama na kusema ya rohoni kwa Fadha kanisa linajua kuhusu Ualifu,Dhamira, Mipango,Nia,Mashaka ya watu,.Hata kiongozi mkuu alipoona siku zake zipo mwisho alimuita Askofu amuongoze Sala ya toba na kuungama dhambi zake,je wanayojua na kusikia yanaishia Kanisani??No wanaandika ripoti inatumwa Vatican

Vatican kiongozi mkuu Pope,Vatican inatambulika Kama nchi huru na mataifa 180..
so viongozi wa RC katika nchi yeyote Ni Kama mabalozi wa Vatican...Kuna baadhi ambao Wana mafunzo ya Upelelezi,infiltration,Lugha,Persuasion na diplomasia..

Kanisa la RC lipo katika maeneo ambayo Serikali haijafika,Niliwahi kufika mahala hakuna serikali,no umeme,No maji,hakuna polisi Wala mwenyekiti wa Kijiji Ila Kuna landcruiser na masister wanaenda kila week,hii Ina maana wanakusanya taarifa kuanzia ngazi ya chini kabisa Hadi parokia..

Hii sio nzuri kwa usalama maana serikali ilinyima elimu watu wa chini,MTU ambae Hana elimu anashika dini vizuri Sana na kauli ya Kiongozi wake wa kidini Ni zaidi ya kauli ya mwanasiasa na rahisi kua manipulated,kila jumapili wanajazana Kanisani Kama kanisa Likitoa "waraka wa jumapili" na usomwe kila kanisa Jambo linaweza tokea..

Sababu TISS wameacha jukumu lao la msingi now wamebaki na mambo mawili tu..kupambana na Siasa za upinzani na kulinda Regime,RC Ni chess master, Vijana waliosoma shule zao leo wapo kwenye uongozi, madaktari,walimu,wanajeshi,na wote wametengenezwa kua waaminifu..

Kama Kuna Jambo lolote wanashindania au Wana mgogoro RC na regime,.Pesa zangu na bet kwa RC..Mnakumbuka Poland na Pope John II??

"there is no shortage of intelligence, or "agency"

the real problem is that none of you care about anything."
 
Roman Catholic Church (RC) ni zaidi ya taasisi ya kiroho Kama tunavyoona au kufahamu,ushawishi wake katika nchi yetu ulianza zamani Sana kabla ya Uhuru,kulikua na Parallel state structure,.Walijenga shule nyingi, Hospitals na majengo ya mahakama..Kama umepitia kitabu Cha Sir Andy Chande A knight in Africa (Journey from Bukene) utajifunza kwamba kuna Taasisi za siri zilianza tangu enzi za ukoloni kutawala na kuendesha Serikali kwa mlango wa nyuma,.

Je intelligence yao Ina nguvu kiasi gani??

Tafsiri ya Intelligence organization ni Uwezo wa kutafuta taarifa,kuzipokea,kuzichakata na kuzichambua ili ku improve security measures,faida za kibiashara,kulinda usalama wa nchi au Taasisi , Na sababu yeyote ile itakayofaidisha taasisi..Kuna Organization nyingi za intelijensia Kama Mossad,TISS,CIA,Roman Catholic Wao ya kwao inaitwa OPUS DEI(Work Of God)..

Jinsi wanavyopata Taarifa,.
Kuna nyimbo ya Rap ya BIG Sean ft Kanye west inaitwa Blessings Kuna remarkable line anasema

" I tell the truth Father forgive me these are all my confessions"

Jamaa anaungana kwa padre dhambi zake Zote, Fikiria Tanzania Kuna maelfu ya makanisa ya RC,waumini milion kadhaa,.haijalishi wangapi wanaungama ila kwa wanaoungama na kusema ya rohoni kwa Fadha kanisa linajua kuhusu Ualifu,Dhamira, Mipango,Nia,Mashaka ya watu,.Hata kiongozi mkuu alipoona siku zake zipo mwisho alimuita Askofu amuongoze Sala ya toba na kuungama dhambi zake,je wanayojua na kusikia yanaishia Kanisani??No wanaandika ripoti inatumwa Vatican

Vatican kiongozi mkuu Pope,Vatican inatambulika Kama nchi huru na mataifa 180..
so viongozi wa RC katika nchi yeyote Ni Kama mabalozi wa Vatican...Kuna baadhi ambao Wana mafunzo ya Upelelezi,infiltration,Lugha,Persuasion na diplomasia..

Kanisa la RC lipo katika maeneo ambayo Serikali haijafika,Niliwahi kufika mahala hakuna serikali,no umeme,No maji,hakuna polisi Wala mwenyekiti wa Kijiji Ila Kuna landcruiser na masister wanaenda kila week,hii Ina maana wanakusanya taarifa kuanzia ngazi ya chini kabisa Hadi parokia..

Hii sio nzuri kwa usalama maana serikali ilinyima elimu watu wa chini,MTU ambae Hana elimu anashika dini vizuri Sana na kauli ya Kiongozi wake wa kidini Ni zaidi ya kauli ya mwanasiasa na rahisi kua manipulated,kila jumapili wanajazana Kanisani Kama kanisa Likitoa "waraka wa jumapili" na usomwe kila kanisa Jambo linaweza tokea..

Sababu TISS wameacha jukumu lao la msingi now wamebaki na mambo mawili tu..kupambana na Siasa za upinzani na kulinda Regime,RC Ni chess master, Vijana waliosoma shule zao leo wapo kwenye uongozi, madaktari,walimu,wanajeshi,na wote wametengenezwa kua waaminifu..

Kama Kuna Jambo lolote wanashindania au Wana mgogoro RC na regime,.Pesa zangu na bet kwa RC..Mnakumbuka Poland na Pope John II??

"there is no shortage of intelligence, or "agency"

the real problem is that none of you care about anything."
una hoja ila kwa dunia ya sasa mambo yamebadilika duniani kote regimes zina nguvu kweli kweli na ndani ya regimes kuna hadi hao wakatoliki na dini nyingine na wato wenye ushawishi kila kona ya dunia, ndio maana unaona hata swala la dp world waliangukia pua, dp world ipo hadi marekani dunia ya sasa ya kibepari watu wanaangalia maslahi and nothing else, hiyo habari ya dini wamebaki nayo wajinga tu, mgao wa escrow kuna mtu aliukataa? ndio ujue nguvu ya hela
 
Sina uhakika kama jambo la padre aliyefanyiwa uvamizi lina connection na hii mada lakini niseme ikiwa kutakuwa na conflict kati ya government vs Roman catholic.Na bet government inaweza kutumia nguvu nyingi lakini mwisho ukawa mbaya(RC wanaweza wasifanye active confrontation lakini fitna zao nazijua vizuri nimekulia kanisani nikakaa jimboni nikiwa mdogo mapadre ni kitu kingine.Mungu asaidie pasiwepo na mgogoro wa namna hii)
 
unable hola ila kwa dénia ya sasa mambo yamebadilika duniani kote regimes zina nguvu kweli kweli na nadei ya regimes kuna hadi hao wakatoliki na wato wenye ushawishi kila kona ya dunia, ndio maana unaona hata smala la dp world waliangukia pua, dp world ipo hadi marekani dunia ya sasa ya kibepari yatu wanaangalia maslahi and nothing else, hiyo habari ya dini wamebaki nayo wajinga tu, mage wa escrow kuna mtu aliukataa? ndio ujue nguvu ya hela
Tangu milele hadi milele, HAKUNA kiumbe chenye uwezo wa kulishinda Kanisa Katoliki. Mungu ndiye aliyependa iwe hivyo.
 
Sina uhakika kama jambo la padre aliyefanyiwa uvamizi lina connection na hii mada lakini niseme ikiwa kutakuwa na conflict kati ya government vs Roman catholic.Na bet government inaweza kutumia nguvu nyingi lakini mwisho ukawa mbaya(RC wanaweza wasifanye active confrontation lakini fitna zao nazijua vizuri nimekulia kanisani nikakaa jimboni nikiwa mdogo mapadre ni kitu kingine.Mungu asaidie pasiwepo na mgogoro wa namna hii)
Na Kama jambo ulilosema Lina uhusiano na our current situation,ili RC iwe wapole lazima serikali ipoteze vingi...iwe wamefanya au hawajafanya Ila lazima "wayajenge"
 
una hoja ila kwa dunia ya sasa mambo yamebadilika duniani kote regimes zina nguvu kweli kweli na ndani ya regimes kuna hadi hao wakatoliki na dini nyingine na wato wenye ushawishi kila kona ya dunia, ndio maana unaona hata swala la dp world waliangukia pua, dp world ipo hadi marekani dunia ya sasa ya kibepari watu wanaangalia maslahi and nothing else, hiyo habari ya dini wamebaki nayo wajinga tu, mgao wa escrow kuna mtu aliukataa? ndio ujue nguvu ya hela
Mkuu kwenye DP world hawakuguswa watu moja kwa Moja,wameguswa Wananchi ambao Hakuna wa kuwapambania au kuwasemea..
 
Roman Catholic Church (RC) ni zaidi ya taasisi ya kiroho Kama tunavyoona au kufahamu,ushawishi wake katika nchi yetu ulianza zamani Sana kabla ya Uhuru,kulikua na Parallel state structure,.Walijenga shule nyingi, Hospitals na majengo ya mahakama..Kama umepitia kitabu Cha Sir Andy Chande A knight in Africa (Journey from Bukene) utajifunza kwamba kuna Taasisi za siri zilianza tangu enzi za ukoloni kutawala na kuendesha Serikali kwa mlango wa nyuma,.

Je intelligence yao Ina nguvu kiasi gani??

Tafsiri ya Intelligence organization ni Uwezo wa kutafuta taarifa,kuzipokea,kuzichakata na kuzichambua ili ku improve security measures,faida za kibiashara,kulinda usalama wa nchi au Taasisi , Na sababu yeyote ile itakayofaidisha taasisi..Kuna Organization nyingi za intelijensia Kama Mossad,TISS,CIA,Roman Catholic Wao ya kwao inaitwa OPUS DEI(Work Of God)..

Jinsi wanavyopata Taarifa,.
Kuna nyimbo ya Rap ya BIG Sean ft Kanye west inaitwa Blessings Kuna remarkable line anasema

" I tell the truth Father forgive me these are all my confessions"

Jamaa anaungana kwa padre dhambi zake Zote, Fikiria Tanzania Kuna maelfu ya makanisa ya RC,waumini milion kadhaa,.haijalishi wangapi wanaungama ila kwa wanaoungama na kusema ya rohoni kwa Fadha kanisa linajua kuhusu Ualifu,Dhamira, Mipango,Nia,Mashaka ya watu,.Hata kiongozi mkuu alipoona siku zake zipo mwisho alimuita Askofu amuongoze Sala ya toba na kuungama dhambi zake,je wanayojua na kusikia yanaishia Kanisani??No wanaandika ripoti inatumwa Vatican

Vatican kiongozi mkuu Pope,Vatican inatambulika Kama nchi huru na mataifa 180..
so viongozi wa RC katika nchi yeyote Ni Kama mabalozi wa Vatican...Kuna baadhi ambao Wana mafunzo ya Upelelezi,infiltration,Lugha,Persuasion na diplomasia..

Kanisa la RC lipo katika maeneo ambayo Serikali haijafika,Niliwahi kufika mahala hakuna serikali,no umeme,No maji,hakuna polisi Wala mwenyekiti wa Kijiji Ila Kuna landcruiser na masister wanaenda kila week,hii Ina maana wanakusanya taarifa kuanzia ngazi ya chini kabisa Hadi parokia..

Hii sio nzuri kwa usalama maana serikali ilinyima elimu watu wa chini,MTU ambae Hana elimu anashika dini vizuri Sana na kauli ya Kiongozi wake wa kidini Ni zaidi ya kauli ya mwanasiasa na rahisi kua manipulated,kila jumapili wanajazana Kanisani Kama kanisa Likitoa "waraka wa jumapili" na usomwe kila kanisa Jambo linaweza tokea..

Sababu TISS wameacha jukumu lao la msingi now wamebaki na mambo mawili tu..kupambana na Siasa za upinzani na kulinda Regime,RC Ni chess master, Vijana waliosoma shule zao leo wapo kwenye uongozi, madaktari,walimu,wanajeshi,na wote wametengenezwa kua waaminifu..

Kama Kuna Jambo lolote wanashindania au Wana mgogoro RC na regime,.Pesa zangu na bet kwa RC..Mnakumbuka Poland na Pope John II??

"there is no shortage of intelligence, or "agency"

the real problem is that none of you care about anything."
Ni mtu mjinga tu atagombana na kanisa katoliki. Waarabu pamoja na umafia wao wa kujitoa muhanga ila wanawaogopa sana katoliki. Uzuri wa katoliki hutakuja kuona wanapayuka kulipiza kisasi ila utaona matendo yanatokea. Ona DRC Congo inavyohangaika na vita na umasikini
 
Na Kama jambo ulilosema Lina uhusiano na our current situation,ili RC iwe wapole lazima serikali ipoteze vingi...iwe wamefanya au hawajafanya Ila lazima "wayajenge"
RC hili jambo wanaweza kubali likapita bila tamko wala chochote lakini nyuma ya pazia najua kuna fitna moja itapigwa hapa yangu macho nisiseme mengi
 
una hoja ila kwa dunia ya sasa mambo yamebadilika duniani kote regimes zina nguvu kweli kweli na ndani ya regimes kuna hadi hao wakatoliki na dini nyingine na wato wenye ushawishi kila kona ya dunia, ndio maana unaona hata swala la dp world waliangukia pua, dp world ipo hadi marekani dunia ya sasa ya kibepari watu wanaangalia maslahi and nothing else, hiyo habari ya dini wamebaki nayo wajinga tu, mgao wa escrow kuna mtu aliukataa? ndio ujue nguvu ya hela
Unaweza kuona kama hii ya DP World isionekane kama ilileta madhara lakini kuna vita ya chini chini juu ya jambo hilo,Ile ya Mpango kugoma kuendelea usichukulie poa, Lisu kuwa mwenyekiti wa chadema usichukulie kama ni rahisi kumbuka Lisu hakuwa na mpango huo. Je nani yupo nyuma ya mambo hayo?
 
Ni mtu mjinga tu atagombana na kanisa katoliki. Waarabu pamoja na umafia wao wa kujitoa muhanga ila wanawaogopa sana katoliki. Uzuri wa katoliki hutakuja kuona wanapayuka kulipiza kisasi ila utaona matendo yanatokea. Ona DRC Congo inavyohangaika na vita na umasikini
Hili tusiombee
 
Back
Top Bottom