rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Hivii kwa nini Msanii akikosana na CLOUDS MEDIA mara nyingii anaishia kupotea kwenye Game ya muziki hata kama akitoa Nyimbo kalii vip hazisikikii kabisaa na hata watuu hawamfatilii sanaa???? Mfano Lady J dee...Ruby nae mpaka kaomba msamaha baada ya kuona mambo magumu... WHY????