Bikra siku hizi hazina ishu ktk mahusiano, mwanzoni ilikuwa ni heshima kwa binti kuolewa bikra na pongezi nyingi huenda kwa wazazi wake.
Lakin si kwa miaka hii ya kizaz hiki cha fb na insta na ndo maana ht wewe umemtoa bikra bila hata ya ndoa au uchumba if am not mistaken.
Nimewah kuzikata hizo kama 6 hiv na nilikuwa najiona kidume ila baadae sikuona umuhim wake zaid ya kuwa wa kwanza tu kutengeneza njia. Kwanza ni wasumbufu kwenye tendo..pili hawadumu kwenye mahusiano ingawa sio wote ila ni wengi kati yao..sijawah kudum nao zaid ya miezi3.
Hawa ambao si bikra hudumu zaid kwny mahusiano kuliko hawa bikra ingw nao si wote..hii ni kutokana na kukinai dushe maana hakn asichokijua..ndefu, fupi, nene na nyembamba.
Labda ulitk tu tujue kwamba umekutana nayo mkuu.