kijana mkimya
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 277
- 121
- Thread starter
-
- #81
utajuta kuoa bikra ............ bora aliyeshaziona ndefu, fupi, nyembamba, nene akatulia akaamua kuolewa.
kama aliweza kujitunza toka primary hadi chuo atashindwaje kujitunza akiwa kwenye ndoa? sidhani kama naweza kuja kujuta. kwanza ni mwanamke ambae anajielewa hapendi kuchezewa.utajuta kuoa bikra ............ bora aliyeshaziona ndefu, fupi, nyembamba, nene akatulia akaamua kuolewa.
karibu kwenye team bikra mkuu,tupo wachache sana tuliobahatika hakika ni raha sana.Nimekuwa nikisikia habari nyingi kuhusu bikra lakini sikuziamini kivilee, nilijua mwanamke ni mwanamke haijalishi ukimkuta bikra au vipi ili mradi ana maumbile ya kike basi hakuna kinachoharibika.
Miezi kadhaa iliyopita nimebahatika kumpata mwanamke ambae ni bikra ambae nilikuwa namuwinda kwa muda mrefu sana sema ndo hivyo kila kitu kinawakati wake. Hakuna kitu kizuri kwenye mahusiano ya kimapenzi kama kuwa na mwanamke ambae umemtoa mwenyewe bikra na kumfundisha mapenzi mwenyewe.
Kusema ukweli mi si mtulivu kwenye mahusiano lakini toka nikutane na huyu amenibadilisha sana maisha yangu ya kimahusiano, nahisi kitu ambacho sijawahi kuhisi maishani mwangu, kaimani ffulani moyoni na mwepesi ajabu. sijawahi kupenda hapo mwanzo kama navyopenda sasa.
Kwa ufupi nahisi raha na amani ya hali ya juu ambayo sijawahi kuipata mwanzoni. Sasa nimeamua kutulia kabisa na kuachana na binti wa mjini wanaotembeza k kila kukicha.
Nimepata wangu halisi miezi michache ijayo natarajia kuitwa baba najiona mwenye bahati kumpata mwanamke bikra, anajua thamani yake, anajua nini maana ya maisha, ana heshima na anajua yeye ni nani mwanamke bikra mtamu. nimeokota dhahabu nashukuru Mungu kwa hili.
ndoa lazima mkuu.nasubiri ajifungue kwanza.Umesha muoa au unaanza na mtoto kwanza ndoa baadae? kama bado basi harakisha wasije kukuibia ukaanza kulia na mito kitandani...
Akiwemo na yeye pia kati ya haoKhee makubwa kwa hiyo wametutoa mwanaume wenzio halafu mnatuambia tunatembeza k.. Haya bwana hongera kupata bikra hata sisi tulianza na moja na sasa ni kumi
the tehNikajà speed nikadhani tayari mbooo imenasa
ndiyo maana yakeAkiwemo na yeye pia kati ya hao
mkuu hayo ndo maneno. sa kama nimepata bikira wa kumuweka ndani nihangaike na manungaemba ya nini tena? naoana watu mapovu yanawatokaa. mi nimeeleza hisia zangu haina haja ya kupanicHahahaha hapo mkuu naona umewaumiza wengi,wadada waliogawa k zao kishamba shamba na kuachwa bila kuolewa woote wanaanza kukuandama mkuuu,hahahahha,binafsi bikira siwapendi kwasababu sienjoy nikifanya nao lakin kwa kuoa mzee hakuna zaidi ya bikira,haya maveterani madunga nyenyeee waachie wataka makombo mzee,sisi tutafute pesa tu na nyumbani tupack bikira tu....hahahaa
Tuko wengi kila ukiona haipo ujuwe mmoja wetu kalakaribu kwenye team bikra mkuu,tupo wachache sana tuliobahatika hakika ni raha sana.
una mawazo ya kijiweni au ndo unachangamsha kijiwe?Uyo uyo ndio atayekufanya ufunge kitanzi atakapopata patamu zaidi io aliyoionja mara ya kwanza..
raha sana mkuu nashangaa watu wanaponda!!karibu kwenye team bikra mkuu,tupo wachache sana tuliobahatika hakika ni raha sana.
mkuu shukran kwa kuwapa somo nadhani wataelewa kupitia comment yako.Haha,waswahili bana ndo maana tunabaki kuwa maskini,seriously mnatumia muda wenu kumdiscourage mwana kwa kumpata bikira,saaa kama wew mabikira huwataki kwanin usibaki ivo ivo kimya kimya tu mpaka mmuandame mwenzenu jamani duuh,haha,bikira wanaeza wakawa sio wazuri kama mnavodai nyie lakin kuna sababu wakawa bora kuliko waliotumika jaman,huo ndo ukweli,na pia kuna sababu mswati anataka mabikira tu na hata kingdoms za zamani kule rome na Scotland pia hata mahali pengi duniani walikua wanaheshimu sana haya mambo,jamani mwenzenu akipiga hatua nzuri mpongezeni sio kuwaunga mkono hao malaya wanao gawagawa k zao afu mnawateyea ati ndo wazuri,acheni hayo mambo banaaa...!
Hapo ndio umepotea kama anajielewa angesubiri NDOAkama aliweza kujitunza toka primary hadi chuo atashindwaje kujitunza akiwa kwenye ndoa? sidhani kama naweza kuja kujuta. kwanza ni mwanamke ambae anajielewa hapendi kuchezewa.
wanaoponda ujue ni team majanga,hakuna raha kama kumkuta mwanamke bikra mkuu,mambo ya ex wangu sijui kafanya hivi ooooh ex wangu akafanya lile huna,hakuna raha kama kuwa na mama watoto ambaye wewe ndiye umemtoa bikra,hivi mke anavyouma alafu unakuta tayari ana kahistoria huko nyuma kakuwa na hata kalist kafupi ka watu wawili tu inaumaje,team bikra oyeeeeeeraha sana mkuu nashangaa watu wanaponda!!
teh teh mkuu shukranRaha kweli....jamani bikra raha...mkuu no angu 0756264799...ntatoa zawadi Siku ya harusii yako ...maana mnastahili pongezi.
kuna wadau uswahilini ndo zao hzo, anafukuzia vitoto vya form3 lakini wapi hazikuti, teh!nani amekwambia bikira zinasakwa? mkuu bikira hazisakwi kabahati tu kanakudondokea kama kalivyonidondokea. teh
hakuna cha kujifariji, feki inajulikana! kwa vile nimepata mwanamke anaejitambua na mwenye maadili mema sitegemei kuleta nungaembe. naamini katika malezi memaJifariji tu hapa mjini wajanja wako wengi tena wanakuzidi mbinu by the we way hongera kwa kuwa uko njiani kutuletea dungaembe
oyeeeee! teh mkuu nadhani mawazo yetu yanafanana. hakuna kitu kilichokuwa kinaniudhi kama upo na mwanamke halafu anaanza kuongelea habari za ex wake. hakuna hayo mambo kwa bikra. yani full kujiaminiwanaoponda ujue ni team majanga,hakuna raha kama kumkuta mwanamke bikra mkuu,mambo ya ex wangu sijui kafanya hivi ooooh ex wangu akafanya lile huna,hakuna raha kama kuwa na mama watoto ambaye wewe ndiye umemtoa bikra,hivi mke anavyouma alafu unakuta tayari ana kahistoria huko nyuma kakuwa na hata kalist kafupi ka watu wawili tu inaumaje,team bikra oyeeeeee
mkuu mi moja imenitosha. nyingine nimewaachia! teh hata hivyo sidhani kama kuna iliyobakimkuu umekutana na bikra moja umepagawa, ungekuwa kama mimi si ungekufa kabisa, teh!