Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,102
- 828,977
- Thread starter
- #41
Hizo huwa ni mali zinazopatikana baada ya kutoa kafara... Hivyo jicho la tatu huona zaidi ya kuonaKuna siku nilipita sehemu wamepaki gari za maana, wakati nakaribia nikajisikia vibaya sana (siwezi kuelezea) nikashangaa nawaza nani huyu kanunua gari hii (ilikua mbele yangu) inafanana na jeneza, mimi siwezi kununua gari kama hili linafanana na jeneza, niliwaza mawazo mengi sana, nilivopita pale ushwari ukarudi moyoni ila nikazidi kuwaza lile gari kama jeneza
Sent using Jamii Forums mobile app