Nguvu isiyoonekana

Nguvu isiyoonekana

bahati mbaya sijafaham utaratibu wa kuingia pm, its a little bit confidential! I'm a new member japo ni msoma mada jf kwa miaka mingi tu. so waweza pia nielekeza how to get into pm (natumia simu) With thanks.
Bofya avatar yangu kila utaona logo ya msg bofya tena hiyo kisha fuata maelezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilipita sehemu wamepaki gari za maana, wakati nakaribia nikajisikia vibaya sana (siwezi kuelezea) nikashangaa nawaza nani huyu kanunua gari hii (ilikua mbele yangu) inafanana na jeneza, mimi siwezi kununua gari kama hili linafanana na jeneza, niliwaza mawazo mengi sana, nilivopita pale ushwari ukarudi moyoni ila nikazidi kuwaza lile gari kama jeneza
 
Back
Top Bottom