Nguvu iliyopo katika kichwa

Nguvu iliyopo katika kichwa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,102
Reaction score
828,981
Ni usiku mwingine tulivu tunapojiandaa kupumzisha miili yetu....lakini kabla hatujalala vichwa vyetu viko busy kuwaza mengi kupanga na hata kufikiri yasiyowezekana
Kuna siri kubwa kwenye kichwa ....
.Yote tunayoandika humu kiwanda ni kichwa..kichwa ndio kisima cha mema, mabaya na maarifa yote ulimwenguni
.Baraka za mikono ni kichwani
. Kwa baadhi kuseta mapepo na majini ni kichwa
.kupunga roho chafu ni kichwani
.Kichwa huhusika pia kwenye ibada zetu .Ubatizo ni kichwani
.mataji ya kuvaa mwilini ni kichwani
Ni mengi mengi mengi yanayohusishwa na kichwa naamini dada divine....atakuja kuongezea
1469475260449.jpg
kichwa ndio mashine ya maisha kichwa ndio ufahamu utokao rohoni, kichwa kikishatenganishwa na mwili uzima hukoma
Ndoto zetu na mambo yote yatuhusuyo katika maisha yetu kichwa cheti ndio kila kitu
1469475460641.jpg


Itaendelea.....
.
Inaendelea.....
Kwenye mashine au mtambo huwa kuna sehemu mbili hardware na software, hardware ni kibebeo cha software, na kama kuna kitu sensitive cha kulindwa ni software, kikiharibika hicho mtambo wote unakuwa hauna maana tena
Kichwa kimebeba software ya mwili , signals zote hutoka hapo . Mtu atatambulika kama chizi mpuuzi mwerevu mjinga katili nk nk kutokana na software ya kichwa chake
Ni kichwa hiki ndio hutoa utambulisho kamili wa mtu...maiti iliyokatwa kichwa ngumu mno kuitambua, kwenye vitambulisho vyetu kinachowekwa ni picha ya kichwa na si mguu wala mkono
Kichwa ni alama ya uongozi, baba ni kichwa cha familia, hata tunaposifu au kuponda reference ni kichwa. kwamba eti jamaa ni kichwa kweli, yaani ni mwerevu sana . au pale hakuna kitu pale yaani kichwani ni sifuri. ..!
Namwalika tena dada Divine... bila kumsahau dada Heaven Sent kwa hitimisho, hasa upande wa kiroho
 
7393196-The-human-brain-is-a-set-of-gears-powered-rope-Only-with-the-key-of-power-energy-and-motivation-the--Stock-Photo.jpg

hiyo ndio kila kitu aisee maana leo hii eddy mimi nikikatwa kichwa inabaki story tu kuwa nilikuwepo kichwa ndio kila kitu maana kuna fyuzi pia zipo humu kichwani zikifyatuka tuu mtu anaonekana mwendaazimu asiejielewa.
 
Mshana umesema tunaenda kulala au kwa wanaoenda kulala?
Nakumbuka ulisema wewe hulalagi maana hii ndiyo mida yako ya korokoni.....

All in all nakubali sana bandiko zako na darasa lako humu Jf.
 
Inaendelea.....
Kwenye mashine au mtambo huwa kuna sehemu mbili hardware na software, hardware ni kibebeo cha software, na kama kuna kitu sensitive cha kulindwa ni software, kikiharibika hicho mtambo wote unakuwa hauna maana tena
Kichwa kimebeba software ya mwili , signals zote hutoka hapo . Mtu atatambulika kama chizi mpuuzi mwerevu mjinga katili nk nk kutokana na software ya kichwa chake
Ni kichwa hiki ndio hutoa utambulisho kamili wa mtu...maiti iliyokatwa kichwa ngumu mno kuitambua, kwenye vitambulisho vyetu kinachowekwa ni picha ya kichwa na si mguu wala mkono
Kichwa ni alama ya uongozi, baba ni kichwa cha familia, hata tunaposifu au kuponda reference ni kichwa. kwamba eti jamaa ni kichwa kweli, yaani ni mwerevu sana . au pale hakuna kitu pale yaani kichwani ni sifuri. ..!
Namwalika tena dada Divine... bila kumsahau dada Heaven Sent kwa hitimisho, hasa upande wa kiroho
 
Agent wa kichwa ni pua,ulimi,macho,ngozi na maskio kwa kupitia hawa kichwa anapokea taarifa mbalimbali na ndipo hufanya maamuzi kutokana na taarifa..
lkn binafsi naona kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kichwa na macho..
kwanini wakati wa kulala macho hufumba..?
na kumtambua kama mtu ameamka mara nyingi mpk afumbue macho.
 
Inaendelea.....
Kwenye mashine au mtambo huwa kuna sehemu mbili hardware na software, hardware ni kibebeo cha software, na kama kuna kitu sensitive cha kulindwa ni software, kikiharibika hicho mtambo wote unakuwa hauna maana tena
Kichwa kimebeba software ya mwili , signals zote hutoka hapo . Mtu atatambulika kama chizi mpuuzi mwerevu mjinga katili nk nk kutokana na software ya kichwa chake
Ni kichwa hiki ndio hutoa utambulisho kamili wa mtu...maiti iliyokatwa kichwa ngumu mno kuitambua, kwenye vitambulisho vyetu kinachowekwa ni picha ya kichwa na si mguu wala mkono
Kichwa ni alama ya uongozi, baba ni kichwa cha familia, hata tunaposifu au kuponda reference ni kichwa. kwamba eti jamaa ni kichwa kweli, yaani ni mwerevu sana . au pale hakuna kitu pale yaani kichwani ni sifuri. ..!
Namwalika tena dada Divine... bila kumsahau dada Heaven Sent kwa hitimisho, hasa upande wa kiroho

Nakubali sana post zako lakini naona sasa ujuzi wako una zeeka, hii post ya leo haina lolote hujaingia ndani sawa kuelezea habari zote za kichwa siyo km zilivyo post zako zingine ambazo ukizungumzia jambo huwa unachimba sana, naomba uongezee nyama kwa Uzi wako hayo uliyoweka ni ya kawaida sana kila mtu anayajua.
 
Inaendelea.....
Kwenye mashine au mtambo huwa kuna sehemu mbili hardware na software, hardware ni kibebeo cha software, na kama kuna kitu sensitive cha kulindwa ni software, kikiharibika hicho mtambo wote unakuwa hauna maana tena
Kichwa kimebeba software ya mwili , signals zote hutoka hapo . Mtu atatambulika kama chizi mpuuzi mwerevu mjinga katili nk nk kutokana na software ya kichwa chake
Ni kichwa hiki ndio hutoa utambulisho kamili wa mtu...maiti iliyokatwa kichwa ngumu mno kuitambua, kwenye vitambulisho vyetu kinachowekwa ni picha ya kichwa na si mguu wala mkono
Kichwa ni alama ya uongozi, baba ni kichwa cha familia, hata tunaposifu au kuponda reference ni kichwa. kwamba eti jamaa ni kichwa kweli, yaani ni mwerevu sana . au pale hakuna kitu pale yaani kichwani ni sifuri. ..!
Namwalika tena dada Divine... bila kumsahau dada Heaven Sent kwa hitimisho, hasa upande wa kiroho
Thanks brod, tunakuja
 
Nakubali sana post zako lakini naona sasa ujuzi wako una zeeka, hii post ya leo haina lolote hujaingia ndani sawa kuelezea habari zote za kichwa siyo km zilivyo post zako zingine ambazo ukizungumzia jambo huwa unachimba sana, naomba uongezee nyama kwa Uzi wako hayo uliyoweka ni ya kawaida sana kila mtu anayajua.
Uko sahihi kabisa ndio maana nikaomba msaada wa wadau wawili mahiri kwenye neno la Mungu....na baadae nitajitahidi kuliweka vema na nikichemsha bado nitakiri kuchemsha
 
Natamani wanadamu wangekuwa wanavitumia vichwa vyao ipasavyo.....nadhani kungekuwa na unafuu mkubwa kwenye hali za maisha yetu.......na tungekuwa na jamii yenye furaha na amani.....
Lakini bahati mbaya waanadamu wa nyakati hizi tumeacha kuvitumia vyema vichwa vyetu na badala yake vimekuwa ni ma gofu ya mashetani na kila mapepo wachafu........na yote hayo yanaonekana kupitia matendo yetu machafu......

Mwanadamu mwenye kutumia kichwa chake inavyotakiwa anawezaje kumkata mwanadamu mwenzie kiungo cha mwili ili yeye awe tajiri kwa kuwa tu huyo kiumbe ana rangi ya mwili tofauti na yeye.....!!??

Mwanadamu mwenye kuutumia vyema kichwa chake anawezaje kumvua chupi na kumuingilia mwanaye wa kumzaa....kwa tamaa za mwili au kupata utajiri...???

Mwanadamu mwenye kukitumia kichwa chake vyema anawezaje kumtoa mama yake kipenzi kafara ili yeye tu apate utajiri....!!???

Mwanadamu mwenye kutumia vyema kichwa chako unawezaje kuthubutu achilia mbali kuwaza kumuingilia mwanamume mwenzio na hata mke wako mpendwa kinyume na maumbile.....kama sio usheitwani nini.....!!!!???

Yapo matendo mengi ya kushangaza na mengine ya kuogofya ambayo yanafanywa na wanadamu waliopoteza udhibiti wa vichwa vyao....na mengine na mabaya kiasi kwamba hayafai hata kuandikika humu maana ni kinyaa....
Ndio maana tunapaswa kufikiri kabla ya kutenda...kwani kupitia fikra zetu ndio tunapata kujua upumbavu wetu na kujisahihisha........na kubaki kwenye mstari.......
Wanadamu tunahesabika wastaarabu na wenye hekima kutokana na matumizi mazuri ya hazina zilizomo kwenye vichwa vyetu.....
Na kupitia kilichomo humo kwenye vichwa vyetu ndio tukapewa utukufu wa kutawala ulimwengu na vyote vilivyomo...........

Lakini kutokana na kuacha kuvitumia vichwa vyetu sawa sawa tumejikuta tukitawaliwa na wanyama kwa kufanya yale yalikuwa yakifanywa na wanyama na mengine hata hata hayafanywi na wanyama.....kama vile kumuingilia mwanamume mwenzake au kumuingilia mwanamke kinyume cha maumbile.......

Wanadamu hatutajua utukufu wetu mpaka pale tutakapo rudi katika mstari....na ili turudi katika mstari ni lazima tuvitumie vyema vichwa vyetu......na kujikomboa kutoka kwenye utumwa wa fikra za kishetani............

It begins with you...,...
 
Sahamani kaka Mshana jr, hapo mwanzo, kichwa changu ilikuwa nikiona kitu kipya, mfano nikikuona naona kama kuna sehemu nimeshakuona. Au kama namtafuta mtu nikiulizia ndio hapo natakiwa kufika. Mfano mwingine, Mke wangu nilipo muona kwa mara ya kwanza, nilimuona kama tumeshawah kuishi nae, kama mke na mume. Mfano mwingine, nikidanganya nimesafiri, basi kesho yake lazima nisafiri iwe kwa raha au shida, kuna kipindi nilienda kwa mganga ili kujaribu kuweka sawa mambo uko Tanga, kama sikosei ni Bomani juu kabisa kule mlimani, tulikuwa wawili, yule mganga alipo niona akaniambia nisije kufanya haya mambo kabisa, nilivyo nimejitosheleza, akaniambia hataki pesa yangu, ila jamaa tulie enda nae akafanyiwa,. na pia nikitoa machozi kwa ajiri yako lazima upate shida sana. Sasa kama hiyo ni nini kichwani kwangu?


Msaada wako kaka tafadhali.
 
Sahamani kaka Mshana jr, hapo mwanzo, kichwa changu ilikuwa nikiona kitu kipya, mfano nikikuona naona kama kuna sehemu nimeshakuona. Au kama namtafuta mtu nikiulizia ndio hapo natakiwa kufika. Mfano mwingine, Mke wangu nilipo muona kwa mara ya kwanza, nilimuona kama tumeshawah kuishi nae, kama mke na mume. Mfano mwingine, nikidanganya nimesafiri, basi kesho yake lazima nisafiri iwe kwa raha au shida, kuna kipindi nilienda kwa mganga ili kujaribu kuweka sawa mambo uko Tanga, kama sikosei ni Bomani juu kabisa kule mlimani, tulikuwa wawili, yule mganga alipo niona akaniambia nisije kufanya haya mambo kabisa, nilivyo nimejitosheleza, akaniambia hataki pesa yangu, ila jamaa tulie enda nae akafanyiwa,. na pia nikitoa machozi kwa ajiri yako lazima upate shida sana. Sasa kama hiyo ni nini kichwani kwangu?


Msaada wako kaka tafadhali.
Una miliki kitu kinachoitwa nguvu za asili kwa king'eng'e ni supernatural powers, hiyo ni karama umepewa bure wengine huipata kwa kupitia mafunzo magumu ya meditation
 
Ni usiku mwingine tulivu tunapojiandaa kupumzisha miili yetu....lakini kabla hatujalala vichwa vyetu viko busy kuwaza mengi kupanga na hata kufikiri yasiyowezekana
Kuna siri kubwa kwenye kichwa ....
.Yote tunayoandika humu kiwanda ni kichwa..kichwa ndio kisima cha mema, mabaya na maarifa yote ulimwenguni
.Baraka za mikono ni kichwani
. Kwa baadhi kuseta mapepo na majini ni kichwa
.kupunga roho chafu ni kichwani
.Kichwa huhusika pia kwenye ibada zetu .Ubatizo ni kichwani
.mataji ya kuvaa mwilini ni kichwani
Ni mengi mengi mengi yanayohusishwa na kichwa naamini dada divine....atakuja kuongezea
View attachment 370921kichwa ndio mashine ya maisha kichwa ndio ufahamu utokao rohoni, kichwa kikishatenganishwa na mwili uzima hukoma
Ndoto zetu na mambo yote yatuhusuyo katika maisha yetu kichwa cheti ndio kila kituView attachment 370922

Itaendelea.....
.
Kichwa ni makao makuu ya mwili ukikata kichwa umekata mwili woote ukivuluga kichwa umevuluga kila kitu mwilini.
 
Back
Top Bottom