nguvu bila ya maarifa hazisaidii

abdul 28

JF-Expert Member
May 29, 2012
325
38
viongozi wa ccm wamelete katiba lakini bado ni ndoto ya watu kuweza kusema wanacho kitaka kama wazanzibar hawataki muungano wache waseme ikiwa uamsho au nani sasa kutia fitina za kidini au kukamata watu bila hatia itasaidia nini sasa viongozi wa tanganyika munayo yachochea zanzibar basi hayo yatakuja kwenu mwanzooHatari ya Mfumo Kristo Tanzania part 4 - YouTube
 
Huu mfumo kristo si tanzania peke yake ni dunia nzima.
Ukiendesha gari ni mfumo kristo,ukipokea mshahara mwisho wa mwezi ni mfumo kristo,ukiwasha umeme ni mfumo kristo,ukitumia internet ni mfumo kristo,ukihesabu miaka ni mfumo kristo.

Jamani hakuna haja ya kupigana na kivuli chetu.
 
Sioni facts, nadhani anaongea na watu ambao uelewa wao wa mambo uko chini sana, chini sana chini sana.
 
Back
Top Bottom