Nguruwe wa Miezi 8 wauzwa Dodoma

Nguruwe wa Miezi 8 wauzwa Dodoma

EDIGAR JO

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2024
Posts
589
Reaction score
594
Wakuu

Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.

Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM.
Eneo: Dodoma
 
Wakuu

Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.

Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM.
Eneo: Dodoma
Ee bwana, nimewaona kwenye picha hapo wamenona kweli?

Unatangaza nini sasa kama hujui kuweka tangazo
 
Hao wa miezi nane wanakilo ngapi kwa Kila mmoja?.Nataka ninunue mkuu maana ninajirani yangu ustaadhi anawapenda sana japo Huwa anajifichaficha
 
Ee bwana, nimewaona kwenye picha hapo wamenona kweli?

Unatangaza nini sasa kama hujui kuweka tangazo

Dell-Latitude-E7270-Touch-Screen (1).jpg

1).Dell latitude 7270

7th gen

-Ram 8GB, ssd 256GB

-DP port, and other ports

-13 inches

-Core i5

-Backlight keyboard

-Slim and portable

450,000
 
ISSUE YA NGURUWE JAMANI , KAMA UPO DODOMA MPIGIE SIMU +255629143209
ATAKUPA TAARIFA KAMILI .NA HUENDA UKALETEWA ULIPO .
 
Wakuu

Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.

Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM.
Eneo: Dodoma
Nguruwe kwetu haliwi wala hauzwi na hata kuulizia thamani yake haina haja.
 
Wakuu

Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.

Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM.
Eneo: Dodoma
Sawa nataka wawiwli hela hizo 1,600,0000. Unaizaje bidhaa bila picha
 
Sawa nataka wawiwli hela hizo 1,600,0000. Unaizaje bidhaa bila picha
Mimi nipo Dar , waliopo shambani sidhani kama kunauwezekano wa kuokota picha .Ndiyo maana naomba umpigie bi mkubwa
+255629143209 atakupatia details
 
Mimi sili na wenzangu nao hawali pia.Hicho ni chakula haramu na najisi(uchafu) hata kumgusa tu haifai.
Weee jama hebu kuwa na haya ,😂 jana tu tumekula wote leo huli !!!😭Amakweli
 
Wakuu

Tunauza Nguruwe hai, wenye afya nzuri kabisa na umri wa miezi 8. Ni Nguruwe waliolishwa vizuri kwa ajili ya matumizi ya chakula au ufugaji zaidi.

Kwa mawasiliano na kufika shambani, tafadhali tuma ujumbe PM.
Eneo: Dodoma
kwa jinsi ninavyowaona hiyo bei milion 3 kwa nguruwe mmoja? hapana aisee
 
Back
Top Bottom