Nguruwe kujikuna na kuota vidonda

Nguruwe kujikuna na kuota vidonda

braity

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2020
Posts
424
Reaction score
600
Kama kichwa cha uzi kilivyo wapendwa. Nina nguruwe wangu 10 wanaota vidonda na wanajikuna. Je naweza kutumia dawa gani kutibu hili tatizo? mahali Nilipo hakuna mtaalam wa wanyama. Anayefahami naomba anisaidie wapendwa
 
Kama kichwa cha uzi kilivyo wapendwa. Nina nguruwe wangu 10 wanaota vidonda na wanajikuna. Je naweza kutumia dawa gani kutibu hili tatizo? mahali Nilipo hakuna mtaalam wa wanyama. Anayefahami naomba anisaidie wapendwa
Possibly ni 'mange disease' / ukurutu hakikisha wanapata dawa za minyoo (ivermectin) kila baada ya miez 3.
 
Na nguruwe kila siku jitahidi Sana uwaoshe na kuwasugua kwa brash laini.usafi ni muhimu sana

Ungeweka picha ingependeza zaidi
 
Na nguruwe kila siku jitahidi Sana uwaoshe na kuwasugua kwa brash laini.usafi ni muhimu sana

Ungeweka picha ingependeza zaidi
Ngozi yao ipo soft ukibrush hakuna madhara?
 
Inawezekana ni mange infestation nunua acaricides kama amitraz au cypermethirin uwaogeshe na wachomwa dawa za minyoo kwa interval ya week mbili watakaa sawa
Kama kichwa cha uzi kilivyo wapendwa. Nina nguruwe wangu 10 wanaota vidonda na wanajikuna. Je naweza kutumia dawa gani kutibu hili tatizo? mahali Nilipo hakuna mtaalam wa wanyama. Anayefahami naomba anisaidie wapendwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom