Nguo zinaficha mengi

Eeeeh!
na wewe umeanza matangazo ya kona?
 

uuuwiii nimecheka hadi basi excel
 
nadhani wanapata raha ya ajabu ndio maana wengine wanang'ang'ania
 
Hizo tabia za walimbwende, wanaume huwa hatuna muda huo wa kujibinuabinua mbele ya kioo...
 
Leo hata wale wenye micheline watajisifia humu.
Wekeni picha.
 

Hopefully you will also grow upstairs.
 
Eeeeh!
na wewe umeanza matangazo ya kona?

kwanini sasa nifiche ndizi iliyoiva?? mwishowe si ni kuoza tu bebii king'asti??

muda wa kula ndizi kwa juice ya embe ndo huu... waacheni waje tu,

tena sasa natafuta njia mbadala ya kuongeza urefu na unene wa hii nchi 7 yangu...!
 

Kujiangalia sio jambo baya,kinachopigwa marufuku ni ile tabia ya kupenda kujiangalia sehemu za siri,iwe ni kwasababu maalumu tu sio unajikodolea wee!
 
Hopefully you will also grow upstairs.

thinking of my body parts is also the part of growing...

kama nyani anajiangalia na kujitoa chawa kwenye zivu, itakuwa kosa kwa bin'adam?
 
Early Monday morning tunajiangalia tukiwa uchi kwenye kioo.

Halafu tukifika kazini tunasingizia foleni.

Watanzania tubadilikeni!!

Umesahau kuwa leo ni sikukuu? Leo ni kujiachia tu, ngoja nipate mtori niende nikacheki kijiwe changu cha biashara, topic imenishinda.
 

hahaha! umema eeh? lazima kuipa mashine nafasi i-relax bhana!
 
...mmh, kujiangalia kwenye kioo. Labda nikivaa kwenda chech tu, au nikinyoa ndevu, vinginevyo kuvua kila kitu kusimama kujiangalia...aaah!!
 
kwanini sasa nifiche ndizi iliyoiva?? mwishowe si ni kuoza tu bebii king'asti??

muda wa kula ndizi kwa juice ya embe ndo huu... waacheni waje tu,

tena sasa natafuta njia mbadala ya kuongeza urefu na unene wa hii nchi 7 yangu...!

muhimu xana mkuu, hawa wanawake bila kutandikwa na mashine kubwa hawaelewi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…