Mmh sijaona tatizo la hicho ki mini skirt, kweli tuna safari ndefu ya kuendelea. Je hayo majibaba yangedondoshwa brazil sipati picha!
we wasema mie nimeipendahaina uzuri wowote
Aisee, Iringa imekua kiasi hiki? Naona vikwangua anga huko kwenye background. Nilikuwepo huko miaka mitano iliyopita, palikuwa pa kawaida sana. Hii ni mitaa gani kaka?





very true, hiyo nguo sio fupi kiasi cha kufuatwa..kuna miji kama BangKok utakimbiaa, afu wao kawaida tu wala hawageuki kutazama.Mmh sijaona tatizo la hicho ki mini skirt, kweli tuna safari ndefu ya kuendelea. Je hayo majibaba yangedondoshwa brazil sipati picha!
very true, hiyo nguo sio fupi kiasi cha kufuatwa..kuna miji kama BangKok utakimbiaa, afu wao kawaida tu wala hawageuki kutazama.