Ndugu zangu, napenda kujua kama ni kweli NGOs zinazotoka bara la Ulaya kama Netherland, Uswiss,UK ni bora sana kwa kuwajali wafanyakazi wake kimaslahi kuliko NGos kutoka Marekani ambazo zingi ya hizo zinapata fund kutoka USAID.Mwenye uzoefu wa kufanya kazi kwenye NGOs zinazotoka mabara tofauti naomba atujuze.
Asante
Asante