Ngorongoro heroes v Nigeria U20 - Afcon U20 Qualifier

Ngorongoro heroes v Nigeria U20 - Afcon U20 Qualifier

watz wanakosa goli la wazi kabisa dakika ya 41, washambuliaji hawana malengo wanjiangusha tu, no stamina, lishe ndogo naona
 
dakika ya 47, muda wowote mpira unakwisha
Nigeria 2, tz, 0
 
full time
nigeria 2, tz-0, marudiano ni baada ya wiki 2

hawajamaa nigeria kwao (uwanja wa nyumbani) walimfunga south africa goli 6, na tunisia goli 10, so tukienda kwao huenda tukapigwa 10 au saba, Maana hatuna beki, wala washambuliaji, no stamina wala plan

Tanzania sijui ni nini tunakiweza... hayaa Malinzi kazi unayo kila timu majanga..

Nikiripoti kutoka hapa katika pc yangu, ni mimi gize wa jffffffffff.......
 
hiyo timu huwa mara zote ni ya Paulsen aliyeondolewa taifa stars ninyi mnampatia simkoko sijui?
 
Akomae golini aishi tu sijui aliumia..
 
yaani wakipewa promo tu tunafungwa damn..

wakati wanachuo wanagoma mwaka 2008 ili watoto wote wapate haki sawa ya kusomeshwa bila madaraja, mkuda alisema serikali haina hela watoto wa masikini wakafukuzwa chuo kwa muda usiojulikana hadi mwezi januari 2009 tena kwa masharti magumu ya kulipa faini. Lakini kwa ushenzi mkuda akajifanya kuwatelekeza wanafunzi na kuamua kumwaga mahela timu ikaenda kutalii Brazil lakini matokeo wote mnayajua. Mkuda alifanya nikaichukia timu ya taifa hadi kesho labda 'msimu' wake ukiisha.
 
Sema hawa vijana sijui wanaendaga wapi? Badala ya kuwaendeleza, wanaishia kupotea tu
 
Back
Top Bottom