Ngoromiko (Jini mrefu aonekanaye usiku)

Alagwa

Member
Joined
May 30, 2012
Posts
97
Reaction score
89
Wakati nakua huko nyumbani (Arusha) nilikuwa nasikia story za kutisha kuhusu kiumbe kiitwacho Ngoromiko

Wasifu wa ngoromiko
  • Mrefu sana
  • Huonekana mara nyingi usiku tuu
  • Huwasha taa mara Moja na kuzima taa hiyo inasemekana ipo kwenye paji lake la uso.
  • Mwili wake umegawanyika mara mbili upande ngumu kama chuma na nusu ni kama binadamu

Je, umewahi kusikia kitu kuhusu kiumbe hiki tuambie?
 
Hahaaa... hapo sasa! Huyo atakua jini wa kwenye bongo muvi πŸ˜€πŸ˜€ Jini bila tochi hatoki usiku πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwa hiyo ni kweli wachawi wa kwenye bongo movie huwa wanatembeaga na mishumaa usiku ili iwamulikie gizani.
 

Myths!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…