Kwa nyakati za sasa uzinifu si kitu cha ajabu tena.Wahusika wanadai kufaidi uasherati kuliko tendo la ndoa.Kumekuwepo kuchokana kwa wawili walio katika ndoa na kufanya mmojawapo ajaribu kutafuta kuridhishwa nje ya ndoa.Jamii yahitaji kuelimishwa juu ya kuridhishana katika ndoa kwani itafikia mahali ndoa itakuwa ni ya jina tuu.Kinachoshangaza ni kuwa wahusika hubadilika baada ya kufunga ndoa au baada ya makubaliano ya kuoana.Nakaribisha elimu juu ya hili.
Kumbe kama mnaona inanoga na kuifagilia kwa saaaaana, iweje humu ndani watu wanalialia wamemegewa na wanahasira kuliko - kiasi cha kupandisha munkari na kuwaacha wake/wapenzi wao?Kweli baba,,, kweli tena saana.
Hapa tujadili NGONO YA WIZI INANOGA?
Mi nasema tena sana
Tuna tatizo sisi waafrika tunavyochukulia ndoa (heshima za kindoa), na tendo la ndoa kama ni mchezo. Sasa mchezo ni mchezo. Unaweza ukacheza tu kwa uwazi na mwanandoa wako- Jee ndoa itachosha hapo? Mbona wenzetu wazungu haichoshi?Kwa nyakati za sasa uzinifu si kitu cha ajabu tena.Wahusika wanadai kufaidi uasherati kuliko tendo la ndoa.Kumekuwepo kuchokana kwa wawili walio katika ndoa na kufanya mmojawapo ajaribu kutafuta kuridhishwa nje ya ndoa.Jamii yahitaji kuelimishwa juu ya kuridhishana katika ndoa kwani itafikia mahali ndoa itakuwa ni ya jina tuu.Kinachoshangaza ni kuwa wahusika hubadilika baada ya kufunga ndoa au baada ya makubaliano ya kuoana.Nakaribisha elimu juu ya hili.
Kumbe kama mnaona inanoga na kuifagilia kwa saaaaana, iweje humu ndani watu wanalialia wamemegewa na wanahasira kuliko - kiasi cha kupandisha munkari na kuwaacha wake/wapenzi wao?
Kwani huo wizi mnaufanya na nani?
Kwanini wanaofurahia wasione ni kawaida tu kwenye maisha na kuwa its not abig deal!?WATU WANAKASIRIKA NINI SASA?
WoS usikasirike ni kweli vitu vya wizi ni vitamu! waulize wale wa EPA hela zilivyokwa tamu. Na kumbuka kuwa penye Tamu na Chungu pia huwepo. Mtu anapoiba Penzi iko siku atakamatwa tu na hapo ndo chungu hutokea!
Sikufichi hapa nifanyapo kazi mara nyingi hutoka usiku sana. Kuna jamaa yangu kila wakati lazima umkute na PS wake wamo dimbani tena ofisini. Nikimuuliza jamaa akanambia we acha tu mazee hii kitu ni tamu si mchezo! Kwenye sofa ya ofisi kama si mezani. Haka ka mchezo kakanikumba na demu wa idara moja na mimi,,,,, nakwambia hivi siachi hata unambie nini,,,, ila mamsap anakaribia kugundua hapo cjui tena,,,,ila ni tamu!
Kumbe kama mnaona inanoga na kuifagilia kwa saaaaana, iweje humu ndani watu wanalialia wamemegewa na wanahasira kuliko - kiasi cha kupandisha munkari na kuwaacha wake/wapenzi wao?
Kwani huo wizi mnaufanya na nani?
Kwanini wanaofurahia wasione ni kawaida tu kwenye maisha na kuwa its not abig deal!?WATU WANAKASIRIKA NINI SASA?
Kwanini sasa ulimtema yule demu wako aliyekuwa anajivinjari na yule kibopa kama ndio ivo?Si ni ukweli wa maisha tu? Na siku mamsap wako akikugundua utafanyaje?samahani lakini maana this is too personal.
Yaani inanichekesha hivi nyie wanaume mnadhani sie hatuumii tunapojua kuwa mnaibia nje? Kwa nini mkasirike sisi tukifanya hivyo? Hata sie tunajiuliza kwata tunalochezeshwa na mwenzangu anachezeshwa hiyo? au unavyonikunja na kunipinda na mwenzangu naye auakunjwa na kupindwa hivyo hivyo au inauma sana. Afadhali mngekuwa mkitoka hamuwarushi kisawasawa ili usije nogewa lakini mh ndio kwanza mnaonyesha hata yale ambayo kwa mkeo hujawahi kuyafanya.
Ila kwa jinsi kasi ya Express yourself inavyoongezeka kwa wale ambao wake ni ngumu kutoa huduma hiyo basi tusahau kama tuna waume maana akikamatwa nje nadhani hawezirudi.
Nilikuwa sijui kama weye una jinsia ya jiraniYaani inanichekesha hivi nyie wanaume mnadhani sie hatuumii tunapojua kuwa mnaibia nje? Kwa nini mkasirike sisi tukifanya hivyo? Hata sie tunajiuliza kwata tunalochezeshwa na mwenzangu anachezeshwa hiyo? au unavyonikunja na kunipinda na mwenzangu naye auakunjwa na kupindwa hivyo hivyo au inauma sana. Afadhali mngekuwa mkitoka hamuwarushi kisawasawa ili usije nogewa lakini mh ndio kwanza mnaonyesha hata yale ambayo kwa mkeo hujawahi kuyafanya.
Ila kwa jinsi kasi ya Express yourself inavyoongezeka kwa wale ambao wake ni ngumu kutoa huduma hiyo basi tusahau kama tuna waume maana akikamatwa nje nadhani hawezirudi.
..Unampiga BRUSH atafungua geti mwenyewe. utaona analazimisha kurudi rivas hapo ndipo penye nafasi ya kushambulia ghafla tena mno.Jamani hii express yourself ikoje? Mi nataka nijaribu,,,unaanzaje. Nsije nikazabwa vibao bure.... Mtaalamu Fidel upo? Toa somo hapa.
Wana JF tufikie tuache kutetea zinaaa.......kumbukeni ahadi zenu kanisani/msikitini/bomani....u guys mko serious kwenye ndoa kweli kwa maneno haya?
Wana JF tufikie tuache kutetea zinaaa.......kumbukeni ahadi zenu kanisani/msikitini/bomani....u guys mko serious kwenye ndoa kweli kwa maneno haya?
Nilimtema maana nilikuwa sijajua utamu wa wizi. Lakini baada ya kujua we! asikwambie mtu. Mamaa akijajua nitakuja huku kuomba ushauri! Si mtanipa ama? Nina MJ1 na WoS, Fidel na Masanilo tooooooooooooosha kabisa.
Jamani hii express yourself ikoje? Mi nataka nijaribu,,,unaanzaje. Nsije nikazabwa vibao bure.... Mtaalamu Fidel upo? Toa somo hapa.
Kamanda, inaelekea full time upo bwaksi..Unampiga BRUSH atafungua geti mwenyewe. utaona analazimisha kurudi rivas hapo ndipo penye nafasi ya kushambulia ghafla tena mno.
Unajua kupiga brush wewe??