Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,786
- 13,561
Urembo wa nyavu matundu
Sisi wengine hatufanyagi mashindano hayaKwanini?
Mimi nabembea na Mdoli wangu kilaiiiiiiniii
Na uzuri wa mapenzi ngono sio.Urembo wa nyavu matundu
OoohSisi wengine hatufanyagi mashindano haya
weee hupendi?Hongera ya wewe.
Bado mdg ndo kwanza 22 yrs nitapotea.weee hupendi?
Amina, nawe pia ndugu zikufikie!Mkuu Ubarikiwe kwa ukumbusho usio na chenga chenga.
Si kweli wapo mpk wanakufa(kufariki) hawajawahi kuna na dalili za hayo magonjwaKuna baadhi wanasema mshindi wa ngono tuzo yake Maradhi! (H.I.V) na ndugu zake.
Shukurani sana kwa ukumbusho huu, maneno yanayofikirisha sanaNgono ni mashindano yasiyokuwa na mshindi.
Mashindano ambayo wengine hutumia dakika tano wengine zaidi ya masaa matatu lakini baada ya kupizi ndio mwisho wa safari.
Wengine hufanya kwa ushindani na mtu, huku wengine hufanya kutokana na shinikizo ambalo pengine la pesa au kuonyesha upendo kwa mtu.
Ila yote hayo ni mashindano yasiyokuwa na mshindi maana leo utajihisi umemaliza mbio lakini kesho pia itabidi ujitume zaidi ya leo ili uonekane bora.
Wasiokomaa kiakili hushinda ili kuonekana wajanja zaidi ya wenzao kwa kubadili kila aina na kusahau mbeleni kuna majuto, huenda ikawa kujutia kupata ugonjwa ama kujutia kutengana na mtu umpendaye au hata kusababisha kifo na kutatuliwa marinda.
Kwa ulimwengu wa sasa wa teknolojia ndio mashindano yameongezeka mpaka kupeleke wengine kufanya ngono na mama zao, dada zao, kaka zao, baba zao, hata kupelekea wengine kulelewa ili waonekane wapo katika ulimwengu wa kisasa. Pia wapo waliotolewa marinda si waume kwa wake, japo wapo waliopenda kwa nafsi zao na wengine kwa kulazimishwa kutoka na mazingira aliyopo.
Kuna wengine huenda mbali zaidi hadi kufanya na jinsia sawa na wao wake kwa wake na waume kwa waume, bila kusahau na wale wa kujichua ili kuingia katika shindano lisilokuwa na mshindi.
Leo utatoka na huyo utasema ana bwawa/kibamia, kesho utatoka na yule utasema anamnato/mashine lakini kipi kinaweka tofauti? Jibu ni hakuna, kwakuwa hamu ipo kila siku na shindalo lipo kila siku hata ubadilishe au usipobadilisha mwisho baada tu ya kupizi majuto huja.
Kujutia kwa nini nilifanya hiki ama kwanini ilikuwa vile, hivyo kuwa makini na njia unazoanza kuchagua. Kubadilisha ladha hakukufanyi uonekane wa kisasa bali limbukeni wa ngono.
For the records hakuna aliyewahi kushinda tunzo ya ngono bora.
Amani kwako mkuuShukurani sana kwa ukumbusho huu, maneno yanayofikirisha sana
Kivipi
Machampion wapo niliona video watu mia NNE wanapiga dem mmoja wamepanga mstari. Huku kalala kwenye meza ya kuzunguka anae elekea kufikia zamu anapewa blow job kwanza Na maduu wengine
Champion watu mia NNE si habaSasa huyo champion?
HayaChampion watu mia NNE si haba