fesee
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 854
- 852
LooNawashauri vijana wenzangu msifanye sana mapenzi kabla ya kuoa. Ukishaoa ukatulia hamu ya zile show za kibabe za kukomoa, za kuonja kila demu mkali hazipo tena.
Ukiangalia uume utauonea huruma umekaa kiuzuni, ulitumika sana, unapiga viwili hamu hakuna.
Nadhani wanaume waliojitunza ujana wao wakiingia kwenye ndoa wanakuwa na hamu sana ya kusex kila mara kuliko wale wanaume waliokuwa malaya uume una expire![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app







