kwani ngome ni kujaza watu mikutanoni au idadi ya kura zitakazopatikana.
Kama ni idadi ya watu hakuna mshindi kama ni kura wakati ukwadia tutafahamu.
Wote tujiandae kisaikolojia kusiakia tusivyokubali na kuelewa tusioyajua.
chadema wamefilisika na kuweweseka! Mliingia Mkenge na kuwatosa wapiganaji na kuamua kuchukua Taasisi CHAKAVU inayoitwa LUWASA.... sasa mnatapika NYONGO..... huku Mwanza kama ilivyo TABORA na KIGOMA hata UDIWANI hamuabulii hata kiti KIMOJA..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.