John Dengu
Senior Member
- Jun 19, 2015
- 108
- 20
Lowassa vivaaa
Tatizo sio ngome wala umati shida ni wapiga kura wenye uhakika maana haya mambo hatuwezi sema wanaojitokeza kwenye mikutano ya ukawa ndo wapiga kura wa ukawa na zaid hata ccm inajaza kama ambavyo mnajaza baadhi ya maeneo
Kwa Tathmini ya haraka mi nazani ngome yao kuu kwa sasa ni Lumumba ndani ya maofisi yao.....kwa hali ya Masasi,Lindi na Tanga pia Dodoma wiki zilizopita.......CCM sasa mbele kwa mbele kwenye kufungasha viraggo kwenda kusikojulikana.
Ngome iliyobaki ni ...(NEC)kuchakachua kura tuu.
Lowassa vivaaa
Tathmini bora kabisa kuliko ile ya twaweza
Nimetafakari sana ile mikoa ambayo CCM ilikuwa inavimbisha kichwa namna ilivyowageuka ukiwemo wa Tanga, je kwa hali hii naomba nijulishwe ngome zilizobaki za CCM ikiwemo Geita. Matusi ukipenda yanaruhusiwa hasa team Nape.
Mwaka huu ccm wanachomwa mishale ya mabadiliko kila kona
Mkuu Geita Lowassa atamchapa Magufuli asubui na mapema... Geita hawampendi magufuli kabisa
labda tabora, na moro baadhi ya wilaya., , nitafanya sherehe hili lichama chakavu litakapo litakapo pelekwa jalalani , , , , linanuka ,,
Mimi nilichojifunza humu kimoja tu: somo la siasa libadilishiwe technics za kufundisha. Kuwe na vipindi vya kuigiza kama inavyofanyika kwenye masomo ya juu ili watu waelewa uhalisia wa siasa. Hivi akina Mawia na wenzake sasa nikawaombee tu ambulance ya kuwabeba maana hamtaweza kumudu matokeo na wengi mtaishia kupata total paralysis maana matarajio mmeyaweka juu mno kuliko uhalisia
Hawana ngome,zote zimetekwa
Hii dhambi ya ubaguzi na kutokuelewa itaendelea kuwatafuna mpaka waishe wamebaki kushindanisha vyama kwa wingi wa watu badala ya Sera, huku ni kufirisika na kupungukiwa uwezo wa kufikiri! Nani kawaambia uwepo wa idadi kubwa ya watu katika mkutano wa siasa inamaanisha wingi wa kura au idadi ya wanachama wa chama kilichoitisha mkutano? wameshindwa kuelewa kuwa watanzania bila kujali vyama vyao vya siasa wana haki ya kuhudhuria mkutano wa chama chochote? mtu anaenda kuomba kazi ya kuwa rais, kiongozi mkuu wa taifa afu watu wakijitokeza wengi mnashangaa na kurukaruka daaaa!!yaani mnashangaa watu wanaojitokeza kumsikiliza mtu anayeomba kazi ya urais?
Tanga imegeukaje? We uite watu kwenye kiwanja kidogo ndio watu wamegeuka ???