Duh, jamani mwenzenu natatizwa kweli. Kila nikimmaind demu na kuanza mikakati ya kumtokea, mara linakuja wazo la ukimwi. Mnh, ghafla apetait inashuka mpaka -20 degrees. Mweee! Wenzangu yanawapataga haya na ni lini tatakula chakula hii freely bila woga?