Ngomaphobia...!

Museven

JF-Expert Member
Aug 22, 2011
629
447
Duh, jamani mwenzenu natatizwa kweli. Kila nikimmaind demu na kuanza mikakati ya kumtokea, mara linakuja wazo la ukimwi. Mnh, ghafla apetait inashuka mpaka -20 degrees. Mweee! Wenzangu yanawapataga haya na ni lini tatakula chakula hii freely bila woga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom