Ngoma za mashetani

Ni mambo yanachanganya sana dada. Mimi hua sielewi kama shetani ndio jini au ni vipi!

Hicho kifudu simchezo maana wanakua kama ngoma ya Mfalme Mswati anachagua mke, na pia matusi nje! Tena hapo wamechanganyika mama, watoto, kaka, dada.shangazi n.k

kwa vigezo vyote hiyo ni shirki tu dada. Na ni makabila na koo nyingi wanayo haya mambo ila hutofautiana namna ya kufanya
 
daaahh mniitage namie" nijionee hayo matiti nje nje
 
hahaha ningeona aibu, kichwa wazi kutoka nje siwez ije kua hivo mashangaz mababu wajomba haa hapana hahahahhaa
 
Bro mambo ya kishirikina yote huongozwa na ujinga.

Pili,sijawahi kuona usecular ukioinga juu yamambo haya,labda unionyeshe leo ni wapi usecular unapinga mambo kama haya au mfano wake.
Kwa mfano mtu akizaliwa kwenye na kukulia kwenye tamaduni hizi halafu abahatike kua kusoma na kua ama daktari,engineer au hata mwanasheria mzuri anakua kwenye nafasi nzuri ya kujua kua hayo mambo hayana nafasi kwenye dunia ya kisasa

Haina maana kwamba inasomeshwa darasani kua hiki au kile katika mila hakifai usifanye ila uwelewa wako kutokana na elimu ya kisekula aliyoipata ndio unamfanya aache hayo mambo

Elimu inayokataza directly ni elimu za dini na imani za dini ndio hazijapepesa macho wala kutikisa masikio, zeimekataza kabisa imani hizo na kuziita za kishirikina
 
Umeona eeh! Eti mkifanya hayo mambo ya aibu ndio mnafanikiwa mambo yenu! Kama sio u Free Manson ni nini sasa?
imani kaka, imani n kitu cha ajabu sana

Nakumbuka wakat niko vanga, kuna babu mmoja na yeye ni mganga, alikuja mdada siku ya kwanza akasema usiku anaota ndoto za ajabu ajabu kaja kutafta tiba ndoto zil zikate, akaambiwa aje siku inayofatia, sasa yule babu ni tapeli si mganga halisi, kulipokucha dada wa watu akaja wakat huo babu alishasahau kama kuna mtu atafata dawa alichokifanya akamwagiza mtoto wa mkewe wa kwanza et akamletee dawa, sasa me nilikua uwani na bibi huyo mke wa huyo babu, akaja yule kaka akachukua rangi za ukili najua wazijua akadondoshea kidogo kwneye maji ya lita moja akayachanganya aakanifanyia ishara ya kua kimya nikabaki nasikitika na kucheka akapewa jinsi ya kutumia kombe hilo feki baada ya siku tatu akaleta mrejesho ndoto zimekata asee nilicheka sana
 
Wanaita "Mwalimu" au ng'weimu
 
Hizo ngoma ni maarufu kwenye mikoa kama ya Tanga, Kigoma, Tabora, Mwanza na Dar na utashangaa kuna hata wasomi na watu wenye exposure huwa wanashiriki

Miye sijambo pia namshukuru Mola
Zile ngoma za kishirikina kuna washiriki wake hutumika kuleta taarifa ambazo hazijulikani.Hali hiyo ndiyo ramli yenyewe na anayeandaa hiyo ngoma humwita fundi,ndiye mganga anayeshughulikia mambo yote mpaka utoaji wa makafara kama uchinjaji wa kuku,mbuzi,kondoo nk.Ni kawaida kumwona yeyote mwenye maruhani kushiriki bila hata yeye mwenyewe kujitambua ikiwa atakuwa jirani na eneo la ngoma.
 
hahaha huyo mama mtaani kwangu ni maarufu kwa hizo ngoma

Na sjui why zinajaaga mashoga ndio wachezaji

Me sjambo kaka angu hofu kwako
Shoga yeyeto hawezi kosa shetani ndo amuongozae,ndo maana ukiwa na tabia za kuangalia porn za mashoga shetani lzm akuingie then si mda utakuwa chakula uliwe au ule.
 
Hizo ngoma ni maarufu kwenye mikoa kama ya Tanga, Kigoma, Tabora, Mwanza na Dar na utashangaa kuna hata wasomi na watu wenye exposure huwa wanashiriki

Miye sijambo pia namshukuru Mola
Hizo ngoma ni matawi ya Freemasonry na wote hao ni Freemasonry, sawa na ngoma za vodoo za west Africa.
 
Kama vodoo ya west Africa, pia ukisema usomi ni general, usomi kwenye nyanya IPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…