kumbe ndani jm kuna kundi kubwa la majuha watu wasiokubali ukweli sasa naelewa tz tunachezewa kwa sababu ni wazembe wa kufukiri
Sijakuelewa huo ujuha unaousema unatokana na nini? kwani hii habari ukiisoma ina angle nyingi unazoweza kuchangia,na mimi niliona nichangie hilo la mataifa ya nje na jinsi yanavyothamini maslahi yao kwa namna yeyote ile kwa kutetea makampuni yao,kama kuamua kuchangia mada hiyo katika mjadala huu ndio ujuha ,basi nakubali mie ni juha ila tu napenda ufahamu hapa duniani hakuna mwerevu wa mambo yote.