Inabidi sasa na wewe uwe mjanja.
Tatizo lenu nyie nanyi hua hamsubiri hata muwe marafiki na mabinti, mnakimbilia tu kutangaza 'ohhh nakupenda' mara 'nakutaka'. Kwa style hiyo unadhani hatoficha makucha ili akukamate vizuri? Niliwahi kuanzisha thread kuhusu haya mambo. . . ukitaka mtu awe muwazi kwako kuwa rafiki yake kwanza, mambo ya kutongozana yaje baadae sana bila kutarajiwa.