La Quica JF-Expert Member Joined Dec 19, 2017 Posts 1,335 Reaction score 3,140 Sep 5, 2018 #1 Mzalendo aachia ngoma nyingine "Changamoto" baada ya kimya cha muda mrefu. Hii ni mara ya kwanza toka alipoachia ngoma kali ya "Nasogea Goligota". Ndani humo amewapiga vijembe BAD, Mh. Wa mambo ya Nyumbani n.k Mzalendo Noma.
Mzalendo aachia ngoma nyingine "Changamoto" baada ya kimya cha muda mrefu. Hii ni mara ya kwanza toka alipoachia ngoma kali ya "Nasogea Goligota". Ndani humo amewapiga vijembe BAD, Mh. Wa mambo ya Nyumbani n.k Mzalendo Noma.
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,542 Reaction score 81,344 Sep 5, 2018 #2 "Page ya Mange ndio TBC ya wanyonge" Noma kweli kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23]