Ngoma atakuwa kama Niyonzima dimbani

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,298
12,600
Wote walikuja na kupokelewa na ummati ya wana-yanga na wote waliondoka kwa mbwembwe na mizengwe na kujifanya wamesahau yale mapokezi ya kirafiki, upendo na udugu waliyopewa na mashabiki wa Yanga wakati wanakuja. Kuondoka kwa mchezaji kwenda timu nyingine ni sehemu ya mchezo na haki ya mchezaji lakini anaondokaje na wakati gani ni muhimu sana katika afya ya mchezaji na mchezo wenyewe.

Sio duwa la kuku, bali watayalipia yote wakiwa katikati ya dima.
 
Usifananishe hali ya Ngoma na Niyonzima, ni watu wawili tofauti kabisa.
Ngoma baada ya kuombewa majeraha yake na Nabii TB Joshua, kapona kabisa na ameshajiunga na wenzake wa Azamu huko Uganda na ameanza mazoezi bila matatizo. Utamwona kwenye ligi yuko fiti kabisa kwa sasa.
Niyonzima amekosa namba ya kudumu kwenye kikosi cha Simba sc. Awe amepona au hajapona kwa kiwango chake hawezi kuanza kwenye 1st 11 ya Wanamsimbazi.
Ndio maana Niyonzima ni kama ameamua kuisusia timu, kwa kuona kiwango chake kipo chini ya akina Mkude.
Usiwalinganishe Ngoma na Niyonzima.
 
Usifananishe hali ya Ngoma na Niyonzima, ni watu wawili tofauti kabisa.
Ngoma baada ya kuombewa majeraha yake na Nabii TB Joshua, kapona kabisa na ameshajiunga na wenzake wa Azamu huko Uganda na ameanza mazoezi bila matatizo. Utamwona kwenye ligi yuko fiti kabisa kwa sasa.
Niyonzima amekosa namba ya kudumu kwenye kikosi cha Simba sc. Awe amepona au hajapona kwa kiwango chake hawezi kuanza kwenye 1st 11 ya Wanamsimbazi.
Ndio maana Niyonzima ni kama ameamua kuisusia timu, kwa kuona kiwango chake kipo chini ya akina Mkude.
Usiwalinganishe Ngoma na Niyonzima.
Hata Niyonzima alikuwa vizuri siku za kwanza Simba. Hata huyu mtaona kitakachotokea Azam
 
Usifananishe hali ya Ngoma na Niyonzima, ni watu wawili tofauti kabisa.
Ngoma baada ya kuombewa majeraha yake na Nabii TB Joshua, kapona kabisa na ameshajiunga na wenzake wa Azamu huko Uganda na ameanza mazoezi bila matatizo. Utamwona kwenye ligi yuko fiti kabisa kwa sasa.
Niyonzima amekosa namba ya kudumu kwenye kikosi cha Simba sc. Awe amepona au hajapona kwa kiwango chake hawezi kuanza kwenye 1st 11 ya Wanamsimbazi.
Ndio maana Niyonzima ni kama ameamua kuisusia timu, kwa kuona kiwango chake kipo chini ya akina Mkude.
Usiwalinganishe Ngoma na Niyonzima.

Nayaheshimu maoni yako kuhusu kutowalinanisha Niyonzima na Ngoma....lakini kwa maoni yangu huyo ngoma ndiyo mwisho wa mpira wake, hataweza kucheza chochote...subiri wewe utaona tu...
 
Nayaheshimu maoni yako kuhusu kutowalinanisha Niyonzima na Ngoma....lakini kwa maoni yangu huyo ngoma ndiyo mwisho wa mpira wake, hataweza kucheza chochote...subiri wewe utaona tu...
Sawa tukutane hapahapa utakapo mwona Ngoma uwanjani akiichezea Azam msimu huu.
Kama tatizo halitakuwa la kushuka kiwango chake, jambo ambalo kwa uwezo wa Ngoma halitakuwa sawa na kiwango cha Niyonzima.
Muda huu Ngoma anajifua na wenzake Uganda, Niyonzima yuko peke yake Rwanda wenzake wapo Uturuki.
Hii ndio tofauti yao.
 
Sawa tukutane hapahapa utakapo mwona Ngoma uwanjani akiichezea Azam msimu huu.
Kama tatizo halitakuwa la kushuka kiwango chake, jambo ambalo kwa uwezo wa Ngoma halitakuwa sawa na kiwango cha Niyonzima.
Muda huu Ngoma anajifua na wenzake Uganda, Niyonzima yuko peke yake Rwanda wenzake wapo Uturuki.
Hii ndio tofauti yao.
Uko sahihi, kukosekana Uturuki hiyo huoni kuwa ni sehemu ya matokeo ya dhambi aliyoifanyia Yanga? Ona hata Sanchez alivyoifanyia Arsenal huko Man U hakunogi.
 
Uko sahihi, kukosekana Uturuki hiyo huoni kuwa ni sehemu ya matokeo ya dhambi aliyoifanyia Yanga? Ona hata Sanchez alivyoifanyia Arsenal huko Man U hakunogi.
Niyonzima hajaifanyia dhambi yanga.
Kulikuwa na makubaliano kati yake na Yanga, Mkataba.
Mkataba ulipoisha unampa kila mhusika uhuru wa kufanya mambo yake bila kumshinikiza jambo lolote.
Niyonzima mkataba wake na Yanga uliisha, na hakuna kipengele kilicho mwelekeza asaini mkataba mwingine na Yanga.
Baada ya mkataba wake kuisha Niyonzima alikuwa huru kuhusu hatima yake ya Soka.
Kama ilivyokuwa huru Yanga kumsajiri tena au kumwacha.
Kuandika mkataba mwingine ni lazima pande mbili zikubaliane na maslahi ya mkataba kwa pande zote mbili.
 
Unasemaje kuhusu Ajibu na Hassan Kessy!
Ajibu na Kessy wamecheza katika kiwango cha kuridhisha Yanga! Huwezi linganisha na hasara waliyopata simba kwa Niyonzima! Aisee, mlisajili kwa mbwembwe kwelikweli Niyonzima ila ndo hivyo Mungu hakupenda!
 
Sawa tukutane hapahapa utakapo mwona Ngoma uwanjani akiichezea Azam msimu huu.
Kama tatizo halitakuwa la kushuka kiwango chake, jambo ambalo kwa uwezo wa Ngoma halitakuwa sawa na kiwango cha Niyonzima.
Muda huu Ngoma anajifua na wenzake Uganda, Niyonzima yuko peke yake Rwanda wenzake wapo Uturuki.
Hii ndio tofauti yao.

Unasema "kama tatizo halitakuwa kushuka kiwango chake..."....Ndiyo maana mimi nasema huyu Ngoma mpira ndio basi tena..kiwango chake kitashuka maradufu...subiri uone...hakuna mchezaji aliyewahi kutoka Yanga kwa kebehi na mikwara na kwenda timu nyingine iwe ni Simba au Azam akacheza kwa kiwango cha juu...mifano ipo mingi tu...yuko wapi Didier kavumbagu, yuko wapi yukle sijui walisema ni 'chumvi' alitoka Yanga akaenda Azam...yuko wapi Niyonzima...Ngasa alikwenda akarudi...yuko Kigi Makasi...wako wengi mno tena sana...Akina Edibily, Mohammed Hussein na wengineo walikwenda huko wakarudi Yanga na wakacheza mpira...ezeckiel Greyson 'Jujuman' alikwenda Simba kutoka Yanga ikawa mdiyo mwisho wake baada ya msimu mmoja au miwili...Sasa huyu sijui anaitwa Ngoma anajidanganya ...amelipwa Yanga mamilion na hakucheza kwa kuwa 'anaumwa'...sasa eti amepona amekwenda Azam ambayo ni Simba 'B'...Ngoja tusubiri na tuone...hatacheza huyu
 
Unasema "kama tatizo halitakuwa kushuka kiwango chake..."....Ndiyo maana mimi nasema huyu Ngoma mpira ndio basi tena..kiwango chake kitashuka maradufu...subiri uone...hakuna mchezaji aliyewahi kutoka Yanga kwa kebehi na mikwara na kwenda timu nyingine iwe ni Simba au Azam akacheza kwa kiwango cha juu...mifano ipo mingi tu...yuko wapi Didier kavumbagu, yuko wapi yukle sijui walisema ni 'chumvi' alitoka Yanga akaenda Azam...yuko wapi Niyonzima...Ngasa alikwenda akarudi...yuko Kigi Makasi...wako wengi mno tena sana...Akina Edibily, Mohammed Hussein na wengineo walikwenda huko wakarudi Yanga na wakacheza mpira...ezeckiel Greyson 'Jujuman' alikwenda Simba kutoka Yanga ikawa mdiyo mwisho wake baada ya msimu mmoja au miwili...Sasa huyu sijui anaitwa Ngoma anajidanganya ...amelipwa Yanga mamilion na hakucheza kwa kuwa 'anaumwa'...sasa eti amepona amekwenda Azam ambayo ni Simba 'B'...Ngoja tusubiri na tuone...hatacheza huyu
Sasa hizo zitakuwa ni nguvu za Ndumba ?
Mimi nakuhakikishia Ngoma atacheza mpira.
Hao walioshindwa wameshindwa kwa uzembe wao wenyewe.
Subiri muda utasema, tukutane hapahapa.
 
Unasemaje kuhusu Ajibu na Hassan Kessy!
Kama pia waliingia Simba Kwa sherehe na hoihoi za mashabiki halafu wakaondoka kihuni hawatabaki salama pia. Hii ni kanuni kaka sio kwa wachezaji tu bali hata kwa wanasiasa, maharusi, wafanyakazi, nk
 
Niyonzima hajaifanyia dhambi yanga.
Kulikuwa na makubaliano kati yake na Yanga, Mkataba.
Mkataba ulipoisha unampa kila mhusika uhuru wa kufanya mambo yake bila kumshinikiza jambo lolote.
Niyonzima mkataba wake na Yanga uliisha, na hakuna kipengele kilicho mwelekeza asaini mkataba mwingine na Yanga.
Baada ya mkataba wake kuisha Niyonzima alikuwa huru kuhusu hatima yake ya Soka.
Kama ilivyokuwa huru Yanga kumsajiri tena au kumwacha.
Kuandika mkataba mwingine ni lazima pande mbili zikubaliane na maslahi ya mkataba kwa pande zote mbili.
Labda umesahau, Niyonzima alisajiliwa na Simba Kwa mbwembwe na kejeli baada ya kupewa pesa ya kufa MTU hasa baada ya kuona Yanga imeyumba kifedha. Kila shabiki alimbembeleza abaki lakini alitanguliza maslahi yake mbele. Alisahau kuwa pesa haiwezi kununua kila kitu maishani. Kuna wakati unahitaji furaha kwa kupendwa tu na watu sio Kwa pesa ulizonazo
 
Sasa hizo zitakuwa ni nguvu za Ndumba ?
Mimi nakuhakikishia Ngoma atacheza mpira.
Hao walioshindwa wameshindwa kwa uzembe wao wenyewe.
Subiri muda utasema, tukutane hapahapa.
Aliwadanganya Yanga kwamba kaumia sasa ataumia kweli Azam
 
Aliwadanganya Yanga kwamba kaumia sasa ataumia kweli Azam
Hapana, Ngoma alikuwa mgonjwa kweli, hakuidanganya Yanga fc.
Sema Yanga walishindwa kumtibu kwa usahihi.
Azam walimpeleka hadi South Africa kwa matibabu.
Mwenyewe akaongeza na kufanyiwa maombi, ndio maana amepona sasa.
Jembe limeingia shambani
 
Yanga mnataka wachezaji wenu wawe wanashindia dagaa sababu tu ya umaskini wenu waacheni wachezaji waende kwenye neema
 
Hapana, Ngoma alikuwa mgonjwa kweli, hakuidanganya Yanga fc.
Sema Yanga walishindwa kumtibu kwa usahihi.
Azam walimpeleka hadi South Africa kwa matibabu.
Mwenyewe akaongeza na kufanyiwa maombi, ndio maana amepona sasa.
Jembe limeingia shambani
Aaaah wacha uongo mgosi, Azam walimpeleka SA kwa checkup ili kujiridhisha na afya yake lakini hakuna alichotibiwa huko. Ngoma hakuonekana na ugonjwa ni mapepo tu ya pesa yalikuwa yakimsumbua
 
Back
Top Bottom