Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 672
- 2,283
Mchezaji asiyechukiwa, aliyepita vilabu kama Leicester City, Chelsea, na sasa anakipiga uarabuni Ngolo Kante amefunga ndoa baada ya kuachana na mwanamke wake wa awali.
Ndoa ya Ngolo Kante ni ndoa simpo sana ambayo haikuwa na makuu.
Kwa msiofahamu, Ngolo Kante analipwa Dola za Marekani 520,000/= kwa wiki ambazo ni sawa na Bilioni Moja, Milioni Mia tatu na Laki Tisa na ushee.
Una lipi na kujifunza?
Ndoa ya Ngolo Kante ni ndoa simpo sana ambayo haikuwa na makuu.
Kwa msiofahamu, Ngolo Kante analipwa Dola za Marekani 520,000/= kwa wiki ambazo ni sawa na Bilioni Moja, Milioni Mia tatu na Laki Tisa na ushee.
Una lipi na kujifunza?