T Tatama Senior Member May 28, 2017 147 90 Jun 6, 2017 #41 mungu amsamehe bure ,maamzi hayo ni magumu sana .Familia yake itakuwa katika wakati wa huzuni hasa watoto wao ,ndugu,jamaa na marafiki
mungu amsamehe bure ,maamzi hayo ni magumu sana .Familia yake itakuwa katika wakati wa huzuni hasa watoto wao ,ndugu,jamaa na marafiki
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Jun 6, 2017 #42 ~~>>>Huyu jamaa anatakiwa kutandikwa bakora 12 kabla ya kuingizwa kaburini......... ~~~>>>
Mehek JF-Expert Member Feb 26, 2017 7,474 10,418 Jun 8, 2017 #43 kisu cha ngariba said: Wanaume wa kanda ya ziwa wanajiua kwasababu ya mapenzi. Click to expand... wanapendaga vibaya
kisu cha ngariba said: Wanaume wa kanda ya ziwa wanajiua kwasababu ya mapenzi. Click to expand... wanapendaga vibaya