Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,687
- 8,600
Labda ndicho kilicho mvutia nayeye akaona akiendelezeWewe ndiye Kiduku mwenyewe.
Kwa nini? Katika uzi wake wa jana alikuwa akikosea kuacha nafasi pale anapoweka nukta. Siyo mara moja au mbili.
Makosa yale yale yanarudiwa na mtu anayedai anamzimia. Is this a coincidence?
Unaweza kusema uongo, ila ukweli haujifichi.