Bi Khadija
Member
- Aug 20, 2018
- 79
- 237
- Thread starter
- #21
Watasema hii ni Id nyingine ya kiduku lilo. Watu wa JF huwa wanakuwa na wivu wa kijinga. Yaani hawapendi sisi wanawake tu m appriciate mwanaume. Wanaumia sana kama wanawake nao...khaaah... Nlijua tu itawauma.
Hata sio mapenzi ni katika kutafuta tu chakula cha roho iliyo pondeka
1.kutafuta hekima kwa watu humu
2.kutafuta matumaini humu kwa usawaa wa kuhangaika huu
tangu aingie kiduku lilo JF imekua burudani