Van pierre
Member
- Mar 27, 2011
- 25
- 0
!jikemee kwanza mwenyewe na tabia zako za kibia bia,watu wanaabudu bar kuliko kazi!!!!NIkaribisheni wapendwa!
Mbona maneno kama ya Pierrenjanka yule wa jana, sijui ameshaenda jela kwa baba mchungaji masanilo! Anyways karibu mkuu ila punguza jazba
Taratibu Van pierre, fani za watu hizo, usija ukala ban hata post 5huna.
Van-Dutch thing
pierre- le Franc
Good combo.
Karibu and watch ur back in JF jukwaa la great thinkers.
Huo ni wivu!!!kwahiyo watu wasishabikie vitu vilivyopo katika maisha ya kila siku???wewe wa karne hipi?