mpambanaji kamili
Member
- Feb 21, 2015
- 74
- 34
Wananchi wa jimbo la Sengerema wamesusia mikutano ya mbunge wao kwa sababu zilizotajwa na watu wake wa karibu kuwa alikuwa harudi kuwaona hivyo ameona uchaguzi umekaribia ndio anarudi.
Wamemwambia amerudi kufanya nini, wamemwambia akaendelee na shughuli zake.
Naomba kuwasilisha.
Wamemwambia amerudi kufanya nini, wamemwambia akaendelee na shughuli zake.
Naomba kuwasilisha.