Ngereja akataliwa Sengerema

Ngereja akataliwa Sengerema

Sengerema maji ni shiiida, nimemuona leo mida ya saa 18:30 kwenye gari lake, watu wa people's naona huku wamechachamaa wanalitaka jimbo kwa nguvu, katika maongezi nikasikia mpinzani wake wa people's power wanatoka kijiji/kata moja ni mfanyakazi huko Iringa. waiting to see.but Sengerema maji ni shida kuliko hata Singida.

Kwa taarifa yako Ngeleja ameanzisha mradi wa maji toka ziwa Victoria. Na utaisha mwezi June. Tuache ushabiki mnyonge mnyonge haki yake mpatie
 
Wananchi wa jimbo la Sengerema wamesusia mikutano ya mbunge wao kwa sababu zilizotajwa na watu wake wa karibu kuwa alikuwa harudi kuwaona hivyo ameona uchaguzi umekaribia ndio anarudi.

Wamemwambia amerudi kufanya nini, wamemwambia akaendelee na shughuli zake.

Naomba kuwasilisha.[/QUOTE
Kwa akili za watu wapotoshaji kama zako nina wasi wasi kama tutamaliza vita na ujinga
 
Sengerema maji ni shiiida, nimemuona leo mida ya saa 18:30 kwenye gari lake, watu wa people's naona huku wamechachamaa wanalitaka jimbo kwa nguvu, katika maongezi nikasikia mpinzani wake wa people's power wanatoka kijiji/kata moja ni mfanyakazi huko Iringa. waiting to see.but Sengerema maji ni shida kuliko hata Singida.

Jumbo LA Bunda analoongoza MH Wassira lipo karibu na ziwa mbona hamuongei maana nimekaa bunda na kuona adha ya maji wanayopata wakaazi wa pale.
Tatizo mkiona jina LA Ngeleja mnatamani mjichane ila aliepewa kapewa
 
Wananchi wa jimbo la Sengerema wamesusia mikutano ya mbunge wao kwa sababu zilizotajwa na watu wake wa karibu kuwa alikuwa harudi kuwaona hivyo ameona uchaguzi umekaribia ndio anarudi.

Wamemwambia amerudi kufanya nini, wamemwambia akaendelee na shughuli zake.

Naomba kuwasilisha.
Watu kama wewe nawashangaa sana. Mnatamani kujimaliza mkisikia jina LA Ngeleja. Pole sana watanzania wenzangu mliogubikwa na ushabiki na mihemko ya kihisia za kisiasa. Ishi kwa uhalisia. Ngeleja ataaafanya mpelekwe ICU ninyi
 
kwa hiyo watu mnategemea mwanasiasa awajaze mapesa wapigakura wake, awachimbie na vyoo, awajengee na nyumba za kulala na familia zenu? kama ndivyo you are totally lost people. kwa taarifa yenu maeneo mengi ya kanda ya ziwa yana shida ya maji zaidi ya sengerema. nenda magu na maeneo ya jirani ukajionee hali ilivyo. ziwa liko pale lakini watu wanashida ya maji. tatizo hilo si la kumlaumu Ngeleja kwa harakaharaka kama kweli tunafikiri. ni tatizo mtambuka. Ngeleja nikimpima naona ni kiongozi imara na thabiti kwa wananchi.
 
nimeona kinachoendelea haoa kwetu na nikajua kwamba hakuna demokrasia ya kweli. Mtu akitaka kufanya mageuzi na kutumia haki take kikatiba anatengenezewa zengwe ili aonekne hafai.
Ngeleja amekuwa waziri na wote tunalijua hilo. Amefanya kazi kubwa sana. Ila baada ya kuona nithreat kwa baadhi ya watu likatengenezwa zengwe ili kumchafua.
Hivi tujiulizs kweli katika jimbo loote la sengerema ina maana hakuna walionufaika vizuri na uongozi wake?
Kwanza wale wote waliokuwa wakimuuliza maswali ni watu waliopandikizwa kisiasa ili kueneza chuki dhidi yake ila alitulia na kuwapa majibu.
Watanzania sisi tumegeuka wanyama kiasi cha kwamba mtu unamuokoa toka shimoni ila akitoka anatamani akutfune pia. Ngeleha kafanya mengi jimboni mwenye macho haambiwi tazama. Tuache ushabiki

umekula bei gani?
 
Jamn sio kwamba mtu akishakua mbunge bas ana fedha zote anazotaka..yeye anachukua matatzo ya wananch na kuyawasilisha serikalini...yeye n kama daraja kati ya serikal na wananchi..hvyo akirnda serikalin na kusema kua sengerema hamna maj wakamwambia subiri tutashughulikia..zaid ya hap mnatak mbunge afanye nn...mnatak achukue mshahara wake akajenge visima??so sa nyngn msimuangalie mbunge kam yy ndo kakwisha maendeleo jimbon..muangalie pia matatz aliyowaslsha...Je! serikal imetatua kias gan kwa sababu mbunge ni wakala tu.
 
Heko wananchi Wa Sengerema kumsusia mbunge huyo yeye in mkazi dar agombee kinondoni
 
Kwa taarifa yako Ngeleja ameanzisha mradi wa maji toka ziwa Victoria. Na utaisha mwezi June. Tuache ushabiki mnyonge mnyonge haki yake mpatie

Huo mradi uko wapi? Hivi nyie mnatufanya wote humu hatujui kinachoendelea,yaleyale ya "wazee kuswaga ng'ombe kumpelekea mbunge wao" kwi kwi kwi
 
Watu kama wewe nawashangaa sana. Mnatamani kujimaliza mkisikia jina LA Ngeleja. Pole sana watanzania wenzangu mliogubikwa na ushabiki na mihemko ya kihisia za kisiasa. Ishi kwa uhalisia. Ngeleja ataaafanya mpelekwe ICU ninyi

Wewe hapo huna mihemko? Mbona unapanic wakimsema huyo Ngeleja,hisia zako kwa Ngeleja usiwatolee povu walio kinyume chake! Kubalini tu kumeza dawa japo ni chungu lakini mtapona! Ngeleja maji ua shingo!
 
Acheni uzandiki Ngeleja imara sana jimboni na taifa kwa unumla.
 
Ngeleja hajawahi kukataliwa bana,aliyekataliwa ni sheja wa iringa. Huyu jamaa kijiji chake cha kalangalala imeshinda ccm kwenye uchaguzi wa vijiji na vitongoji. Yeye yuko cdm afu hajui hata kuongea jukwaani. Mjinga mjinga mwingine anayezomewa na watu ni mhuni mmoja anaitwa tabasamu,huyu darasa la 2 muha wa kigoma jsmbazi na tapeli hadi katapeli waislamu wenzake. Huyu amekuwa akizomewa pamoja na kutumia chopa.
 
huyu mzee wamakashifa ashamalizwa siku nyingi lilobaki kutafuta kijana makini tu
 
Ushindi wa Ngeleja kwenye jimbo lake kwa asilimia 83 wakati wa uchaguzi wa seikali za mitaa,vijiji na vitongoji last dec unabeba taswira ya nguvu ya kisiasa aliyo nayo Ngeleja. Kumbukeni udhindi wa ngeleja ni zaidi ya ushindi wa majimbo ya akina mzee Wassira 73pct, Dr Magufuli 77pct, Sitta 74pct, Membe 80pct, Mwakyembe 81pct,Mwandosya 82pctm
 
Back
Top Bottom