Ngeleja arejesha form rasmi

Ngeleja arejesha form rasmi

WEKKI

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
477
Reaction score
146
Leo saa nne asbuhi mji WA Dodoma ulisimamama baada ya kijana makini William Ngeleja kurudisha form yake ya kukiomba chma cha mapimduzi kumpa fursa ya kugombea urais kupitia chama hicho.

Akiongea na waandishi alisema kuwa. Lengo lake ni kuunda mfumo mpya ambao atalifanya taifa kuondokana na utegemezi wa kiuchumi.


#Maono sahihi

Mikakati makini

Matokeo Halisi
 
Picha akiwa anarudissha form
 

Attachments

  • 1435876033690.jpg
    1435876033690.jpg
    43.1 KB · Views: 175
  • 1435876142720.jpg
    1435876142720.jpg
    46.7 KB · Views: 172
Sisiem kwa maigizo tuu hawajambo. Hiyo July 12 ifike tuu hizi drama ziishe.
 
Leo saa nne asbuhi mji WA Dodoma ulisimamama baada ya kijana makini William Ngeleja kurudisha form yake ya kukiomba chma cha mapimduzi kumpa fursa ya kugombea urais kupitia chama hicho.

Akiongea na waandishi alisema kuwa. Lengo lake ni kuunda mfumo mpya ambao atalifanya taifa kuondokana na utegemezi wa kiuchumi.


#Maono sahihi

Mikakati makini

Matokeo Halisi

raisi wa JMT dr/profesa wiliam ngeleja....... hahahahaaaaaaaa! bado wiki moko kupata utamu
 
Leo saa nne asbuhi mji WA Dodoma ulisimamama baada ya kijana makini William Ngeleja kurudisha form yake ya kukiomba chma cha mapimduzi kumpa fursa ya kugombea urais kupitia chama hicho.

Akiongea na waandishi alisema kuwa. Lengo lake ni kuunda mfumo mpya ambao atalifanya taifa kuondokana na utegemezi wa kiuchumi.


#Maono sahihi

Mikakati makini

Matokeo Halisi

mleta mada umesema amelejesha Leo wakati unaleta thread Leo ilukuwa na lisaa tu inamaana karusha fomu 00 - 01....ngereja Ni tahira mpaka mleta mada...
 
Back
Top Bottom