Ametaka kupata umaarufu kupitia bajeti ya chadema ,,, ambapo al;ikulupuka kama tunavvyomjua,, na kuanza kuiponda na kusema kuwa chadema wanadanganya wananchi,, kwa kusema kuwa bajeti ya ccm ni nzuri,, ina mambo mazuri mno,, yeye anampongeza wazri wa fedha na kamati yake,, kwa kutuandalia bajeti nzuri yenye,, kukidhi matakwa ya watanzania kwani imejitosheleza kutatua ugum wa maisha kwa kucover maeneo yote ambayo yanampa tabu mtanzania,, imebase kwenye elim afya miundombinu maji nishati,, na ati bajeti au maoni ya upinzani kama aitavyo tundu lisu,, ngeleja akasema hayana jipya,, haijaeleza jinsin ya taifa kuongeza mapato,, na inasema kuwa mapato ni 0..zero,, haija jitosheleza inafaa itupiliwe mbali