Ngazi kwa kiingereza inaitwaje?

Ngazi kwa kiingereza inaitwaje?

Mtoa mada samahani kwa kuingilia uzi wako kwani nami ningependa kuuliza kupitia uzi wako huu sentensi ya kiswahili ifuatayo kuwa inatakiwa iweje katika umoja (singular):
"Madini ya dhahabu".
 
Mtoa mada samahani kwa kuingilia uzi wako kwani nami ningependa kuuliza kupitia uzi wako huu sentensi ya kiswahili ifuatayo kuwa inatakiwa iweje katika umoja (singular):
"Madini ya dhahabu".
huwa tunasema "gold minerals".
 
Ngazi ni palm
Kupanda ni planting

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Mi ndo uelewa wangu huo labda mnisaidie[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Hainogi. Kuna maneno ya kiingereza ukiyatafsiri kwa kiswahili hayanogi, mfano Fantastic.
Mambo mengine huku kwetu yalichelewa kufika, hatuna maneno yake...sasa hivi jirani wanajaza web na maneno mapya ya kutunga, yana ukakasi ni balaa...kama sharubati
 
Naomba nikurebishe. Ngazi za ndani (au hata nje) ya jengo zinaitwa STAIRS na sio Upstairs.

Upstairs inatumika kama mahali ambapo ni ghorofani. Hivyo ndio maana unapotaka kwenda ghorofani juu, unasema 'I am going Upstairs' ila unapotaka kushuka kutoka ghorofani unasema 'I am going downstairs'
Ulisoma shule zetu zile eehh...

Teh teh teh...
 
Back
Top Bottom