Kwanini mnampaisha ivi wakati anacheza bongo?
Angekua anachezea Barca ingekuaje?
Msitujazia server bila sababu ya msingi.
Kwanini mnampaisha ivi wakati anacheza bongo?
Angekua anachezea Barca ingekuaje?
Msitujazia server bila sababu ya msingi.
tunasema hatuna tatizo na wewe na tunakutakia kilalaheri katika hiyo team yako mpya na kamwe hatutakuzomea uwanjani kama wao wanavyomzomea Yondani wetu,.
Mkuu na wewe huwa unaandika vitu vingine hata havieleweki, Ngasa hajatoka Yanga kwenda Simba katoka Azam Kwenda Simba, na Kelvin katoka Simba kwenda Yanga, Ingekuwa Ngasa naye katoka Yanga basi ungweza kuweka ulinganifu lakini sasa ni vitu viwili hata havifanani.