RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Tena wako very proud
Wanaume wanayatumia?
Wanaume wanayatumia?
Mimi natumia ila pia sijaona mabadiliko. Makovu ya chunusi hayaondoki haraka. Slow kana kwamba situmii kabisaNyie hamtumii Bio-Oil maanake promo inayopewa natamani nionane na mrembo anaetumia!
Ni kweli natumia muda ila haina ishu sema njipa matumaini kuwa huenda ikanisaidiaManeno tu hainaga issue .
Kuondoa makovu paka asali Mkuu .pia makovu huchukua mudaNi kweli. Natumia muda ila haina ishu. Sema njipa matumaini kuwa huenda ikanisaidia